Hii harusi imenishangaza sana

Hii harusi imenishangaza sana

Ntandaba

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
922
Reaction score
1,486
Kunyonyana denda zaidi ya dakika tano mbele ya wazazi. Mwanamke kumkatia mumewe viuno zaidi ya baikoko (vile viuno vya chumbani) hadharani.

Mwanamke kutafuna keki na kisha kummiminia mmeo mdomoni mbele ya kadamnasi. Kwa kweli imenishangaza sana, wahenga mliosalia hebu ingilieni kati kutolea neno la busara ili kulinda mila na desturi zetu

NB:
Bi harusi kazidiwa hadharani kutokana na michezo ya mahaba ukumbini
 
Kunyonyana denda zaidi ya dakika tano mbele ya wazazi.
Mwanamke kumkatia mumewe viuno zaidi ya baikoko(vile viuno vya chumbani) hadharani.
Mwanamke kutafuna keki na kisha kummiminia mmeo mdomoni mbele ya kadamnasi.
Kwa kweli imenishangaza sana
weka video

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Hivi kunyonyana denda kwako ni mbaya atii?? Kama umemeza denda lake kwa 5 min kuna shida gani akikutafunia hilo li keki?? Umeoa?? Ka bado karibu chama chetu cha waliooana.
 
Aisee

[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Hakuna jipya hapo.
Bwana harusi amewahi kuzama kwenye mine salt!

Wewe, unashangazwa na denda pamoja na baikoko!

Any way, tatizo lako ni exposure ndogo, ukitembea au ukiendelea kuhudhuria harusi na matukio kama hayo utarudi kufuta huu Uzi wako.
 
Usishangae mkuu ndio ishatokea tena. Achana nao kila watu wana aina yao ya kuishi hivyo wewe unashangaa huku wenzio wameona sawa.
 
Hayo ni mambo ya kawaida sana kwa dunia ya leo. Ukikakaa mjini kwa muda utazoea tu .Karibu sana mkuu.
 
Ni halali yao, hata wakipeana dumu la mate hakuna anayewadai.
 
Hii ni taarifa au umbea!!??? weka video basi tuone kilichotokea,,, au unataka twende kwa imaginations!!!
 
Akiweka video au picha niiteni.
Vinginevyo naiona hii porojo kama porojo zingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom