Joseph Isaack
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 450
- 89
SASA WEWE SI UCHUKUE HATUA? ninani unataka achukue hatua kama siyosisi twaweza
Hilo toto la shule limekosa malezi bora toka kwa wazazi wake, ana kiherere.
Mfuate huyo baba ongea naye angalau umfahamu ni nani na anafanya kazi wapi, muhakikishie umeona kila kitu kinachoendelea. mtafadhalishe amrudishe mtoto kituo cha shuleni kwao la sivyo utamripoti katika vyombo vya sheria mara moja.
Vema ngoja nifanye hivyo , lakini pale stand ya magari magu kuna kituo kidogo cha polisi, sijui niwaunganishe na mchongo huo au nyinyi mnasemaje wakuu?
Vema ngoja nifanye hivyo , lakini pale stand ya magari magu kuna kituo kidogo cha polisi, sijui niwaunganishe na mchongo huo au nyinyi mnasemaje wakuu?
Wakuu tumeshuka hapa stand , jamaa amemchukua yule mtoto ameenda nayo kwenye kiduka fulani cha M-pesa sijui ndo anadroo pesa ya guest au vipi na mimi ndo naingia hapa polisi post huku nikiwacheck wasije nitoroka.,.nitawajuza kitakachofuata.