Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,224
- 12,946
Hapa majuzi gazeti la Mwananchi liliripoti juu ya safari za anga kusishwa na shirika la ndege la Air Tanzania! nilileta uzi humu kuonesha jinsi Gazeti la Mwananchi limekuwa likichapisha habari za uongo lakini wapo wadau walinibishia kuwa sio kweli safari ziekufa.
Sasa Fatilia mwenyewe kupitia Flight radar Air Tanzania (Bombardier Q8-400) yenye usajili wa 5H-TCD ikipasua anga kutokea Dar es Salaam kuelekea Chato-Geita.
use
Sasa Fatilia mwenyewe kupitia Flight radar Air Tanzania (Bombardier Q8-400) yenye usajili wa 5H-TCD ikipasua anga kutokea Dar es Salaam kuelekea Chato-Geita.