Uzi ufungiwe hapa"Survive of the fittest" kwangu hiyo ndio law pekee ya nature iliyo na uhalisia
Huku kwenye ground kuna washenzi wanacheza rafu sana, kacheza rafu halafu ubao unasoma matokeo fresh wewe unacheza fair halafu hola hola, wanatutia hasira kishenzi"Survive of the fittest" kwangu hiyo ndio law pekee ya nature iliyo na uhalisia
Mwamba kimekukuta nini?Hii Dunia haipo fair hata kidogo.