Hii dua ya namna gani hapa Shekhe!?

Hii dua ya namna gani hapa Shekhe!?

The Dictator

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
4,347
Reaction score
11,849
Kuna ile kauli: "MSICHANGANYE DINI NA SIASA" hapa naona haihusiki. Ndio kusema mzani umelalia upande mmoja?

Hii ni dua iliyotolewa na Shekhe mmoja hapo kwenye sherehe ya May mosi. Hebu isikie kama hukupata wasaa huo;

 
Kila mmoja wetu anatafuta mlo
62677928366b9edfcc49d5e6d0fc3852 (1).jpg
 
Siku ya ufunguzi wa stend kuu ya mabas nzega Ile Dua iliyosomwa ilikuwa ni upuuZi wa Hali ya juu. Sijui alikuwa ni huyu huyu.
 
Back
Top Bottom