hii biashara inalipa kweli??

majogajo

JF-Expert Member
Oct 9, 2011
317
44
nina computa 2(laptop), headfone 1, modem 3 (air tel, tigo na voda), flash 1 ya 4gb, simu 2 za mchina, mkoba wa kubebea cd. wadau kwa kutumia assets nilizozitaja hapo naweza kufanya biashara gani? au niongezee assets zipi zisizozidi Tsh.500,000 ili nifanye biashara na itakuwa ni biashara ipi?
 
nina computa 2(laptop), headfone 1, modem 3 (air tel, tigo na voda), flash 1 ya 4gb, simu 2 za mchina, mkoba wa kubebea cd. wadau kwa kutumia assets nilizozitaja hapo naweza kufanya biashara gani? au niongezee assets zipi zisizozidi Tsh.500,000 ili nifanye biashara na itakuwa ni biashara ipi?

with that 500k you can start NETWORK MARKETING BUSINESS and the return is superb....a new way of product distribution direct from manufacturer to customer...do wana do it? PM me.
 
tafta frem ya kawaida ukodishe, toa laki 3 kanunue cd za bongo movies kariakoo na tv pamoja na deck, kakate leseni na kalipie elfu 15 basata. Chukua laptop yako jaza miziki ya kila aina.
Anzisha library ya kukodisha na kuuzia movies.
Halafu chukua modem moja tafta line flani ni free internet accesing uwe unadownload movies mpya na kuuza kwa shillingi elfu 3 mpaka 5 yani zile latest.
Hii biashara inalipa sana ukiwa na location nzuri na ubunifu.
Kuweka nyimbo kwenye simu au flash wimbo 1 ni shillingi tshs 300-500.
Ukiwa kwenye sehemu ambayo ina boda boda na bajaji wengi kila siku hukosi uza nyimbo 50.
50 x 300= 15,000
cd za bongo movies unakodisha na kuuza cd moja shillingi 1000 na kawaida bongo movies cd zao ni part 1 na 2 hivyo basi lazima mtu akichukua cd atachukua 2.
Kwa hiyo kwa siku ukikodisha cd 4 = 4000
ntaishia hapo.
Kwa siku walau huwezi kosa pata elfu 15.
Nakushauri hivyo kwakuwa mimi na rafiki yangu tuna hii biashara na watu wengi hawajui kama inaingiza ela kweli. Pembeni ya fremu yetu yupo jamaa anauza vifaa vya tv na ni fundi tv lakini nakwambia sisi tunaingiza ela zaidi yake. Mimi nimekwambia kwa kifupi lakini hatufungi tukiwa chini ya 25,000 kwa siku.
 
with that 500k you can start NETWORK MARKETING BUSINESS and the return is superb....a new way of product distribution direct from manufacturer to customer...do wana do it? PM me.

NIMEKUWA INTERESTED NA HII BIASHARA YA NETWORK MARKETING nipe details zake huenda hata contacts niwe dent wako. Am very serious on this. email;ptlwongola@gmail.com
 
Mkuu Majogajo, Kichwa na taarifa haviendani.

Ila pia nakupongeza kwa kuwaza kufanya Biashara. Kuangalia resources ulizonazo ni Hatua ya kwanza na muhimu sana kwenye safari ndefu ya uamuzi wa biashara gani ifanyike.


Kwa resources ulizonazo, ukiongeza na ujuzi wako na interests zako utapata Biashara, Ila kwa maelezo yako na ulivyo navyo, Ongeza na comments za elimagnifico; Nakushauri uchukue ushauri wake and uanze kazi right away.....
nina computa 2(laptop), headfone 1, modem 3 (air tel, tigo na voda), flash 1 ya 4gb, simu 2 za mchina, mkoba wa kubebea cd. wadau kwa kutumia assets nilizozitaja hapo naweza kufanya biashara gani? au niongezee assets zipi zisizozidi Tsh.500,000 ili nifanye biashara na itakuwa ni biashara ipi?
 
with that 500k you can start NETWORK MARKETING BUSINESS and the return is superb....a new way of product distribution direct from manufacturer to customer...do wana do it? PM me.
nimeshaisoma mind yako mambo ya forever living
 
with that 500k you can start NETWORK MARKETING BUSINESS and the return is superb....a new way of product distribution direct from manufacturer to customer...do wana do it? PM me.

mimi siwezi mshauri mtu afanye hii mambo kama ya forever living. Wanawapa seminar zinazo wafanya watu wajione matajiri kumbe wanakuwa exploited na hakuna wanachokipata zaidi ya kuwageuza matching guys.
Wanaleta watu na ushuhuda wa uongo yani ni kama dini na ushuhuda wa miujiza. Mimi nina ushahidi wa watu wengi nawaona yu wanakuwa exploited kazi kupita kupita kwenye ma bar
 
nimeshaisoma mind yako mambo ya forever living
haipo network nsiyoipenda dunianikama forever living..nimuzuria semina zao nyingi sana, wao nikujisifu na kutolea mfano binti mmoja alikuwa akisoma coet jinsi alivyonufaika, niwapuuzi sana wale watu.
 
Hayo "malaptop na mamodem" manne ulikuwa unafanyia kaz gani? Nia yangu ni kufaham ujuzi wako ili nipate cha kukushauri,=, otherwise sitakushauri kukodisha cd na kuingiza nyimbo kwenye sim, ni wizi! Kama vipi mwezi wa tano nenda Tandahimba ukasajili fomu sixi liva HESLB, ukifanya elfu kumi kwa kichwa watu miambili utapata mil2 ya mtaji ndani ya mwezi mmoja!
 
Hayo "malaptop na mamodem" manne ulikuwa unafanyia kaz gani? Nia yangu ni kufaham ujuzi wako ili nipate cha kukushauri,=, otherwise sitakushauri kukodisha cd na kuingiza nyimbo kwenye sim, ni wizi! Kama vipi mwezi wa tano nenda Tandahimba ukasajili fomu sixi liva HESLB, ukifanya elfu kumi kwa kichwa watu miambili utapata mil2 ya mtaji ndani ya mwezi mmoja!

mkuu siyo wizi unalipia basata. Wizi ni kuburn cd na ndiyo maana basata wanapoanza kufanya operation ya kukamata wizi wa kazi za wasanii wakikuta una computer ina dvd rom inayo burn ndipo wanakukamata.
Unalipia pesa basata kwa ajili ya kuuzia watu nyimbo kwa kuweka kwenye simu na flash lakini usi burn.
Kusema kweli haimake sense lakini ndivyo ilivyo.
 
Line ambayo naweza kutumia kuaccess internet bure naipata wapi? Kama vp nipm.







Anzisha library ya kukodisha na kuuzia movies.
Halafu chukua modem moja tafta line flani ni free internet accesing uwe unadownload movies mpya na kuuza kwa shillingi elfu 3 mpaka 5 yani zile latest.
Hii biashara inalipa sana ukiwa na location nzuri na ubunifu.
Kuweka nyimbo kwenye simu au flash wimbo 1 ni shillingi tshs 300-500.
Ukiwa kwenye sehemu ambayo ina boda boda na bajaji wengi kila siku hukosi uza nyimbo 50.
50 x 300= 15,000
cd za bongo movies unakodisha na kuuza cd moja shillingi 1000 na kawaida bongo movies cd zao ni part 1 na 2 hivyo basi lazima mtu akichukua cd atachukua 2.
Kwa hiyo kwa siku ukikodisha cd 4 = 4000
ntaishia hapo.
Kwa siku walau huwezi kosa pata elfu 15.
Nakushauri hivyo kwakuwa mimi na rafiki yangu tuna hii biashara na watu wengi hawajui kama inaingiza ela kweli. Pembeni ya fremu yetu yupo jamaa anauza vifaa vya tv na ni fundi tv lakini nakwambia sisi tunaingiza ela zaidi yake. Mimi nimekwambia kwa kifupi lakini hatufungi tukiwa chini ya 25,000 kwa siku.[/QUOTE]
 
tafta frem ya kawaida ukodishe, toa laki 3 kanunue cd za bongo movies kariakoo na tv pamoja na deck, kakate leseni na kalipie elfu 15 basata. Chukua laptop yako jaza miziki ya kila aina.
Anzisha library ya kukodisha na kuuzia movies.
Halafu chukua modem moja tafta line flani ni free internet accesing uwe unadownload movies mpya na kuuza kwa shillingi elfu 3 mpaka 5 yani zile latest.
Hii biashara inalipa sana ukiwa na location nzuri na ubunifu.
Kuweka nyimbo kwenye simu au flash wimbo 1 ni shillingi tshs 300-500.
Ukiwa kwenye sehemu ambayo ina boda boda na bajaji wengi kila siku hukosi uza nyimbo 50.
50 x 300= 15,000
cd za bongo movies unakodisha na kuuza cd moja shillingi 1000 na kawaida bongo movies cd zao ni part 1 na 2 hivyo basi lazima mtu akichukua cd atachukua 2.
Kwa hiyo kwa siku ukikodisha cd 4 = 4000
ntaishia hapo.
Kwa siku walau huwezi kosa pata elfu 15.
Nakushauri hivyo kwakuwa mimi na rafiki yangu tuna hii biashara na watu wengi hawajui kama inaingiza ela kweli. Pembeni ya fremu yetu yupo jamaa anauza vifaa vya tv na ni fundi tv lakini nakwambia sisi tunaingiza ela zaidi yake. Mimi nimekwambia kwa kifupi lakini hatufungi tukiwa chini ya 25,000 kwa siku.

we ni noumer arifu... hii biashara nzuri sana ukiwa maeneo ya uswahilini kama huku kwetu..

ila cd 1 kukodi = 500 so part 1 na 2 ni 1000 kwa siku cd 5 ni sawa 5000
nyimbo moja kuweka kwa simu ni 200 ukiwweka nyimbo 10 kwa siku ni 2000

ukipata maendeleo zaidi unaweka mpesa, tigo pesa na airtel money na luku.

ila huyu jamaa kwa mtaji wa laki 5 ni ngumu sana maana kodi ya kijibanda unaambiwa ulipe miezi sita sasa atatoa wap? hapo hujafanyia renovation hiyo frame....? ila hamna linaloshindikana chini ya jua tafuta mdau humu jf akukope..!
 
yaah hii biashara nzuri uswaz sisi huku kwetu cd 1 buku hatuna mchezo na nyimbo 1 300, line za free internet access mimi nilinunua kwa jamaa flani namba sina tena ila alijtangaza kuwa anauza humu humu.
Halafu kuna jamaa katoa idea nzuri hii ya kuwafanyia registration vjana waliomaliza form 6 inalipa sana
 
tafta frem ya kawaida ukodishe, toa laki 3 kanunue cd za bongo movies kariakoo na tv pamoja na deck, kakate leseni na kalipie elfu 15 basata. Chukua laptop yako jaza miziki ya kila aina.
Anzisha library ya kukodisha na kuuzia movies.
Halafu chukua modem moja tafta line flani ni free internet accesing uwe unadownload movies mpya na kuuza kwa shillingi elfu 3 mpaka 5 yani zile latest.
Hii biashara inalipa sana ukiwa na location nzuri na ubunifu.
Kuweka nyimbo kwenye simu au flash wimbo 1 ni shillingi tshs 300-500.
Ukiwa kwenye sehemu ambayo ina boda boda na bajaji wengi kila siku hukosi uza nyimbo 50.
50 x 300= 15,000
cd za bongo movies unakodisha na kuuza cd moja shillingi 1000 na kawaida bongo movies cd zao ni part 1 na 2 hivyo basi lazima mtu akichukua cd atachukua 2.
Kwa hiyo kwa siku ukikodisha cd 4 = 4000
ntaishia hapo.
Kwa siku walau huwezi kosa pata elfu 15.
Nakushauri hivyo kwakuwa mimi na rafiki yangu tuna hii biashara na watu wengi hawajui kama inaingiza ela kweli. Pembeni ya fremu yetu yupo jamaa anauza vifaa vya tv na ni fundi tv lakini nakwambia sisi tunaingiza ela zaidi yake. Mimi nimekwambia kwa kifupi lakini hatufungi tukiwa chini ya 25,000 kwa siku.

Imetulia hii
 
yaah hii biashara nzuri uswaz sisi huku kwetu cd 1 buku hatuna mchezo na nyimbo 1 300, line za free internet access mimi nilinunua kwa jamaa flani namba sina tena ila alijtangaza kuwa anauza humu humu.
Halafu kuna jamaa katoa idea nzuri hii ya kuwafanyia registration vjana waliomaliza form 6 inalipa sana

hii ya kuwafanyia vijana registration unaipata vipi mkuu? nisaidie kuna mdogo wangu kamaliza chuo hana kazi hii inaweza kumfaa japo apate mtaji afanye biashara..
 
Hayo "malaptop na mamodem" manne ulikuwa unafanyia kaz gani? Nia yangu ni kufaham ujuzi wako ili nipate cha kukushauri,=, otherwise sitakushauri kukodisha cd na kuingiza nyimbo kwenye sim, ni wizi! Kama vipi mwezi wa tano nenda Tandahimba ukasajili fomu sixi liva HESLB, ukifanya elfu kumi kwa kichwa watu miambili utapata mil2 ya mtaji ndani ya mwezi mmoja!

mkuu hii ishu ya kusajili vijana wa form six ninaweza kuipata vipi?
 
Back
Top Bottom