Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Dear Chitchaters,
Kuna bendi ilikuwa inapiga pale Millenium Business Park Victoria kila Friday Last year nilikuwa naenda sana. Nikawauliza wadau pale wakaniambia inaitwa Grumeti Mambas, sasa naomba kama kuna mwenye info zao anijulishe jamani nimemisi sana miziki ya zamani. Au kama kuna anayejua Juma Kakele na bendi yake wamehamia wapi anifahamishe.
Its Friday time to let loose but i have nowhere to go
:lol::lol::lol::lol::lol:
Kuna bendi ilikuwa inapiga pale Millenium Business Park Victoria kila Friday Last year nilikuwa naenda sana. Nikawauliza wadau pale wakaniambia inaitwa Grumeti Mambas, sasa naomba kama kuna mwenye info zao anijulishe jamani nimemisi sana miziki ya zamani. Au kama kuna anayejua Juma Kakele na bendi yake wamehamia wapi anifahamishe.
Its Friday time to let loose but i have nowhere to go
:lol::lol::lol::lol::lol: