Hii ajali jana nusura itutoe roho

Hii ajali jana nusura itutoe roho

Hili hebu lifafanue ndugu yangu!!
Rejea sheria za usalama barabarani, kwenda mwendo mdogo bila sababu ni kosa pia. Wapo madereva wa magari ya abiria ambao huwa wanaenda bila kuzingatia sheria, mfano kwenda zaidi ya km 80, kuipita gari ilioko mbele pasipostahili, kuongea na simu na mengineyo. Inapotokea abiria wakamweleza dereva kuhusu uvunjifu wa sheria, dereva huamua kwenda mwendo mdogo sana ili kuwakomoa abiria.
Wajuzi zaidi wanaweza kuongezea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom