Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,731
- 39,831
Hizi mpya hazina portable na ni ngumu kupata file dogo la chini ya mb 100.Mkuu naomba link ya Adobe Ai latest, portable kama unayo
laptop yangu ni 32 bit. nawesa kupata hii adobe photoshopHizi mpya hazina portable na ni ngumu kupata file dogo la chini ya mb 100.
Unaweza jaribu hii wanasema ni portable ila sijaijaribu ni version mpya
https://1337x.to/torrent/4295701/Adobe-Illustrator-CC-2020-v24-0-1-341-x64-Portable-FileCR
Kwa version nyengine zenye mb kidogo angalia hapa
Download Illustrator portable Torrents | 1337x
link ya juu unaclick magnet ila sio photoshop hio, na pia utahitaji kuwa na torrent app kwenye laptop yako.kwenye kudowload kuna direct,torent na annonynous download,naclick ipi
inaandika file dowload is blocked bu userlink ya juu unaclick magnet ila sio photoshop hio, na pia utahitaji kuwa na torrent app kwenye laptop yako.
don
jaribu hii
poa,
Haina kamilika hiyo chiefWakuu, nina adobe photoshop CS6. Hii ina size ya MB 73 tu. Inafanya kazi vema tu. Niliidownload kutoka kwa muhindi fulani huko Youtube. Sasa nikitafuta adobe nyingine naona ipo yenye size ya GB 1 na ushee hivi. Sasa naomba kuuliza, hii yangu ya MB 73 ni feki au tofauti na hii yenye size kubwa ni ipi?
Naomba kuwasilisha wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
chief nieishusha na kuinstall lakini naitafuta kwenye pc siioni,ila file lipo
Pale ulipoinstall ilikuletea option ya kuchagua folder hapo ndio ilipo, sijajua wewe umechagua wapi.C
chief nieishusha na kuinstall lakini naitafuta kwenye pc siioni,ila file lipo
folder lipo tena kwenye desktop kabisa hapa naliona.Ile application ndo haionekani kwenye program list. au kuna process haijakamilikaPale ulipoinstall ilikuletea option ya kuchagua folder hapo ndio ilipo, sijajua wewe umechagua wapi.
Jaribu maeneo haya
-folder hilo hilo ambalo kuna setup angalia kama kuna folder jengine limeongezeka.
-local disc C
-local disc C then program files.
File Hilo hapo. Hatua inayofuata?Pale ulipoinstall ilikuletea option ya kuchagua folder hapo ndio ilipo, sijajua wewe umechagua wapi.
Jaribu maeneo haya
-folder hilo hilo ambalo kuna setup angalia kama kuna folder jengine limeongezeka.
-local disc C
-local disc C then program files.
Ingia ndani ya hilo folder utaikuta photoshop, sababu ni portable kuna uwezekano mkubwa isitokee kwenye program list (portable app inaweza fanya kazi hata kwenye flash).File Hilo hapo. Hatua inayofuata?
Nimeright click imekuja hiiPale ulipoinstall ilikuletea option ya kuchagua folder hapo ndio ilipo, sijajua wewe umechagua wapi.
Jaribu maeneo haya
-folder hilo hilo ambalo kuna setup angalia kama kuna folder jengine limeongezeka.
-local disc C
-local disc C then program files.
Folder hili hili shuka chini mpaka uone photoshopNimeright click imekuja hii
Pale ulipoinstall ilikuletea option ya kuchagua folder hapo ndio ilipo, sijajua wewe umechagua wapi.
Jaribu maeneo haya
-folder hilo hilo ambalo kuna setup angalia kama kuna folder jengine limeongezeka.
-local disc C
-local disc C then program files.
Hapana,ilivyokuja ndo hivyo hivyoMkuu huja li rename file hili? Mbona exp badala ya exe?
Ngoja nikiwa home niweke hii version nione kwangu itakuwaje