Hii Adobe photoshop CS6 mbona inanichanganya wakuu

CS6 full version ina GB 8.1 hizo nyingine zinakuwa cracked kupata moja moja.
Ila complete ina. Adobe PS, illustrator, InDesign, dreamwiver, fireworks, flash, Incore, adobe reader, nk.
 
Wakuu, nina adobe photoshop CS6. Hii ina size ya MB 73 tu. Inafanya kazi vema tu. Niliidownload kutoka kwa muhindi fulani huko Youtube. Sasa nikitafuta adobe nyingine naona ipo yenye size ya GB 1 na ushee hivi. Sasa naomba kuuliza, hii yangu ya MB 73 ni feki au tofauti na hii yenye size kubwa ni ipi?

Naomba kuwasilisha wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Haina kamilika hiyo chief
 
C

chief nieishusha na kuinstall lakini naitafuta kwenye pc siioni,ila file lipo
Pale ulipoinstall ilikuletea option ya kuchagua folder hapo ndio ilipo, sijajua wewe umechagua wapi.

Jaribu maeneo haya
-folder hilo hilo ambalo kuna setup angalia kama kuna folder jengine limeongezeka.
-local disc C
-local disc C then program files.
 
Pale ulipoinstall ilikuletea option ya kuchagua folder hapo ndio ilipo, sijajua wewe umechagua wapi.

Jaribu maeneo haya
-folder hilo hilo ambalo kuna setup angalia kama kuna folder jengine limeongezeka.
-local disc C
-local disc C then program files.
folder lipo tena kwenye desktop kabisa hapa naliona.Ile application ndo haionekani kwenye program list. au kuna process haijakamilika
 
Pale ulipoinstall ilikuletea option ya kuchagua folder hapo ndio ilipo, sijajua wewe umechagua wapi.

Jaribu maeneo haya
-folder hilo hilo ambalo kuna setup angalia kama kuna folder jengine limeongezeka.
-local disc C
-local disc C then program files.
File Hilo hapo. Hatua inayofuata?
 

Attachments

  • IMG_20200619_132532_9.jpg
    IMG_20200619_132532_9.jpg
    160.2 KB · Views: 1
File Hilo hapo. Hatua inayofuata?
Ingia ndani ya hilo folder utaikuta photoshop, sababu ni portable kuna uwezekano mkubwa isitokee kwenye program list (portable app inaweza fanya kazi hata kwenye flash).

Ukishaiona right click kisha run kama Administrator itafunguka.
 
Pale ulipoinstall ilikuletea option ya kuchagua folder hapo ndio ilipo, sijajua wewe umechagua wapi.

Jaribu maeneo haya
-folder hilo hilo ambalo kuna setup angalia kama kuna folder jengine limeongezeka.
-local disc C
-local disc C then program files.
Nimeright click imekuja hii
 

Attachments

  • IMG_20200619_144326_7.jpg
    IMG_20200619_144326_7.jpg
    74.3 KB · Views: 1
Pale ulipoinstall ilikuletea option ya kuchagua folder hapo ndio ilipo, sijajua wewe umechagua wapi.

Jaribu maeneo haya
-folder hilo hilo ambalo kuna setup angalia kama kuna folder jengine limeongezeka.
-local disc C
-local disc C then program files.
 

Attachments

  • IMG_20200619_152725_6.jpg
    IMG_20200619_152725_6.jpg
    130.9 KB · Views: 3
  • IMG_20200619_152725_6.jpg
    IMG_20200619_152725_6.jpg
    130.9 KB · Views: 3
Mkuu huja li rename file hili? Mbona exp badala ya exe?

Ngoja nikiwa home niweke hii version nione kwangu itakuwaje
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom