Hichi ndicho kitafanya nimuache mke wangu

Hichi ndicho kitafanya nimuache mke wangu

Kuna unalofanya ambalo lamfanya asiwe na Imani nawe, suala la dharau ni kuambizana tu yanarekebishika mkuu!!
Wivu kwenye mapenzi lazima uwepo tuu kama hamna wivu jua hupendwi!!
Kaeni chini myazungumze bwanaa
Ok labda kweli
 
Ndg nakushauri uvumilie,kwani ndoa za karne hii zinaitaji uvumilivu wa hali ya juu,vinginevyo utaoa sana na kuacha wanawake wa leo heshima,utii na adabu ni zero kwa baabhi yao usikimbie matatizo pambana mtoto wa kiume jaribu kumuelimisha kuwa kuna mambo huyapendi anaweza akabadirika.
 
Pole. Jaribu kukaa nae na umweleze unavyojiskia na ambavyo hupendi. Nadhani Kama ni mwanamke mwenye akili ataelewa tu.
Lakini Kama ni mwanamke mpumbavu ataivunja NDOA kwa mikono yake mwenyewe
 
Siri ya mafanikio katika mahusiano yeyote ni mawasiliano mazuri, ukirudi nyumbani piga wa lazima uongee na mpenzi wako kuhusu yale unayoona yanakukera na mkimaliza mnasindikizia maongezi na tendo.
Labda kweli lakini nimejitaidi kwa kweli
 
Bora yetu si tunaooa kwa muda maalum muda ukiisha kila mtu njia yake afu kesho tukikutana tunapishana kama hatufahamiani
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu.Hii sio story ni mambo ambayo yanaendelea katika nyumba yangu kwa kweli niliowa kwa leo kwa kutegemea kuna vitu nitavikuta katika ndoa lkn imekuwa ni kinyume na matarajio yangu
1. Dharau
Yani siku nikinunua mboga ambayo haipendi lazima ataitupa au kuzila na hatopika na maneno ya kashfa hii haangalii tuko wapi.
2. Wivu uliopitiliza
Natoka alfajiri kwenda job narudi jioni kabisa kichwa kimechoka natarajia kutulizwa na kupewa pole ila ilo zogo home utatamani urudi job ila ndio washafunga.
3. Uaminifu
Yani inafika stage nikirudi kazini nivuliwa nguo nasuswa kama sijachepuka
Nikienda kwa rafiki nikirudi lazima ipigwe simu kujua kama nilikuwa hoko

Swali hivi ndoa ndio ziko hivi zote?
Kuna umuhimu gani wa kuwa kwenye ndoa na wakati humwamini mwenzio hata 1%!
Am out namuacha kwa kweli this is too much.
[emoji125] mm mbiooooo
Unaonaje ukikaa na mkeo mkajadili kuhusu hizo tabia? maana uku sidhani kama ni sehemu sahihi.
 
Pole. Karibu kukaa nae na umweleze unavyojiskia na ambavyo hupendi. Nadhani Kama ni mwanamke mwenye akili ataelewa tu.
Lakini Kama ni mwanamke mpumbavu ataivunja NDOA kwa mikono yake mwenyewe
Na hii ishavunjika ni karaha
 
Back
Top Bottom