Madhara ya ndoa za utotoni
Yah ahsante kwa ushauri mzuriNdg nakushauri uvumilie,kwani ndoa za karne hii zinaitaji uvumilivu wa hali ya juu,vinginevyo utaoa sana na kuacha wanawake wa leo heshima,utii na adabu ni zero kwa baabhi yao usikimbie matatizo pambana mtoto wa kiume jaribu kumuelimisha kuwa kuna mambo huyapendi anaweza akabadirika.
Uchumba it was 4years
Me 29
Ke 22
Ndoa 4
Mkuu ulipata bahati ya embe "nice and fresh" sasa hili linakuja na utomvu wake.Uchumba it was 4years
Me 29
Ke 22
Ndoa 4
Wazee Hatuna izi za kunusana nyeti.. Sie ni kucheza na wajukuu tu..Sio za uzeeni sana?
Asante mkuu nilitaka kusema hivi hivi,nimeangalia profile yake nikajua tu huyu kaowa katoto aged18 maana yeye mwenyewe kama wa muda mrefu basi wa 1993/1994.vijana msivamie ndoa mkidhani 100% ni raha no kuna changamoto zake zinazohitaji kuvumilia.Madhara ya ndoa za utotoni
Uchumba miaka 4 sio mbaya inatosha kabisa kufahamiana kitabia. Kwa hesabu za haraka ulianza uchumba na huyo binti akiwa mdogo sana(miaka 14) na ukamuoa mapema sana akiwa na miaka 18.Uchumba it was 4years
Me 29
Ke 22
Ndoa 4
Wazee Hatuna izi za kunusana nyeti.. Sie ni kucheza na wajukuu tu..