B Binti tz JF-Expert Member Joined Jun 26, 2026 Posts 439 Reaction score 933 Jul 9, 2026 #1 Mwanaume anapoteza kila kitu alichokitafuta.jaman hichi kiumbe ni njia ya mauti hakifai kabisa
V Vita dhidiyaujinga Senior Member Joined May 15, 2026 Posts 198 Reaction score 240 Jul 9, 2026 #2 Red-me said: Mwaname anapoteza kila kitu alichokitafuta.jaman hichi kiumbe ni njia ya mauti hakifai kabisa Click to expand... Acha kusambaza chuki eleza yaliyokukuta usaidiwe kwa haki kama shida ni kupenda uchi uache uoe au ubaki bila sex siku zote
Red-me said: Mwaname anapoteza kila kitu alichokitafuta.jaman hichi kiumbe ni njia ya mauti hakifai kabisa Click to expand... Acha kusambaza chuki eleza yaliyokukuta usaidiwe kwa haki kama shida ni kupenda uchi uache uoe au ubaki bila sex siku zote
mbalizi1 JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 22,664 Reaction score 45,391 Jul 9, 2026 #3 Nini kimekutokea?
Sozo_ JF-Expert Member Joined Jun 12, 2022 Posts 2,920 Reaction score 5,392 Jul 9, 2026 #4 Na mwanaume anaweza akawa adui wa mwanamke, adui ni adui hachagui jinsia
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 52,671 Reaction score 127,693 Jul 9, 2026 #7 Kamsemee kwa babaake