Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,618
- 3,743
Kamuingiza choo cha kike maskini mungu anamuonaa,, atakuja kukuchukia maisha yake yote maana Hilo king ulilomuingiza sio la kitoto hahahaa
Kamuingiza choo cha kike maskini mungu anamuonaa,, atakuja kukuchukia maisha yake yote maana Hilo king ulilomuingiza sio la kitoto hahahaa



wageni wote muige mfano wa huyu jamaaNataka awe chuma chamkoloni kama nyete






Sio poa kumtukanaWe jamaa ni matako kweli unatumaje detail zako huku. Had lipicha lako
Mamaamama eeeeeee!
Aya kabadili chap sasa ushamba ushakuisha
Mpigie sm mbona ameacha contact zake
Jamaa sijui kakimbilia wapi mpaka aje kujua kunakuchange ID sio leo
Huyu ataiva Na anaweza akaja Na ushahidi kagongwa Na mwendokasi hata kama haufanyi kazi ngoja uone mwisho wake
Na kweli maana si kwa jinsi unavyowakomesha,
Ila nahc huenda na ww Unalipiza kisasi kwa ulichofanyiwa for the first time to join this forum.
Lazma na ww walikuchungulia
Kwa taarifa yenu huyu jamaa ameanza kupokea simu nyingi za mademu wa JF mliowashindwa na ID zenu fake


hawawezi hata Kwa dawa labda maana mapenzi upofu unakuta ndo anabamiza nihatariWewe humu ni mwenyeji sema identity yako umeamua kufungua mpya tungeshakushika nyeti kitambo sanaWrite your reply... Hahaaha wayaaaa, unaniabisha mgeni mwenzako kama ungekua kutapeliwa ingekua tayariiii




Sio matusi bhna!!Sio poa kumtukana
,, jamaa umeingizwa king na ww ukaingia, naamini haumalizi mwezi haujabadili ID
ndio ivyo wameamua ila n good idea
amna co mbaya kama uja kosea uwez jua kama uko correct
wageni wote muige mfano wa huyu jamaa
Nishajitambulisha zamani sanaKijana amejitambulisha vizuri sana.na wewe mwifa Fanya kama hivi
Jamaa una dhambi sana weweNaomba utume majina yako matatu namba yako ya simu tafadhari muda huu




