Walivyomfanyia Bro Lissu Yani. Cha kuuz hawana hata remorse. Hali yake ya mafao bungeni hawampi. Liliiba rambirambi bila aibu. Lazima achekwe tuu. Ajirekebishe na aungame sisi wabongo tutamsamehe la sivyo tutazidi kumcheka
Pengo anamuingiza chaka!
Maombi yake yanazidi kumchanganya!
Mwanzo alikuwa anadhani ni mambo ya mpito lakini keshaona kuwa hali hii ipo na itaendelea kuwepo, keshaanza kuweweseka hadharani.
Frastuesheni bandarini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.