Hi tabia wanawake mmeitolea wapi

Hi tabia wanawake mmeitolea wapi

Pole mwaya. Mpe hela akanunue hotpots uwe unajipakulia mezani. Or else ununue microwave, wakishakula wanahifadhi kiporo chako ukirudi tu unapasha kwa raha zako.


hongera kwa kuchelewa kurudi nyumbani. Ndio uanaume huo
 
Kwa nini asile hoteli au gengeni kama mke hawezi kumuandalia nyumbani. Kama anachelewa kurudi kwa nini asile huko anakochelewa. Yawezekana wanahitaji mfanyakazi wa ndani
 
Mwanamke mwerevu huijenga nyumba yake lakini mwanamke -------- huibomoa kwa mikono yake mwenyewe....:sad::frusty::nono::nono:
 
Sio vyema labda mama watoto awe ananyonyesha, au mgonjwa hapo sawa kwa kumlaki yeye na hata wewe mwenyewe kujihudumia ila sio yeye amekaa kwenye luninga kisa kuna kipindi anakifuatilia akuambie ukajipakulie afadhali kwa kufuatilia kipindi akuombe kidogo inaleta maana unaweza muelewa na kumfanyia usmati siku moja(au mara moja moja) lakini isiwe kitabia tena

hehe na whattsap amwachie nani?
 
Makubwa!!! Kwani ukioa ndo hutumwi?? Hayo mambo madogo sana ku blame! Msaidie tu!
 
Sio vyema labda mama watoto awe ananyonyesha, au mgonjwa hapo sawa kwa kumlaki yeye na hata wewe mwenyewe kujihudumia ila sio yeye amekaa kwenye luninga kisa kuna kipindi anakifuatilia akuambie ukajipakulie afadhali kwa kufuatilia kipindi akuombe kidogo inaleta maana unaweza muelewa na kumfanyia usmati siku moja(au mara moja moja) lakini isiwe kitabia tena

Hata hii Mara moja moja haifai maana mwisho wa siku she take it for granted; hawa wanawake sijui wana akili ya namna gani!!!!
 
Kama ndoa yako ina amani sidhani kama mkeo atafanya hvyo,usijekua unarudi home saa sita o saba ucku thn utake mwenzio aamke kuandaa,hata kama ni mm utajipakulia tu coz ndoa c mateso,ila kama mko poa na home unawah ,mkeo ana shida mwambie hupendi hyo tabia!mchepuko sio dili
 
Watu wanashauri utafute nyumba ndogo! Wake wengi sio dili siku hizi,huyu akuroge na huyu akuroge,utakufa siku si zako! Ongea nae,ikishindikana piga chini.
 
Wale wale tu
Acha kukariri wewe!! Yaani akufanyie vyoote kujipakulia tu iwe inshu kuubwa!!! Labda angesema mkewe kamwambia ajipakulie afu yeye anasoma gazeti/ anaangalia tamthiliya hapo ningesema dharau ila hajasema hvyo!!
 
Back
Top Bottom