daviey69
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,234
- 866
Ntaua nikishindwa nachukua chakula naweka mezani na yeye namtoa nje nafunga mlango halafu nakula nalala zangu!Ni kawaida mkuu,.
Tena ushukuru kwa hicho chakula kuwepo!!
Je ungeambiwa upike ungesemaje?
Mi kwangu sili peke yangu, ngoma inawekwa kati tunagonga wote hata kama ameshiba anisindikize!