Jaman hodi nmeingia huku napenda sana stori za kizushi na nimeshaweka stori 1 kwenye udaku pale, jaman nitarajie nini
Karibu; hapa JF moderators wanaweza kuwa wanayapitia maandishi yako mara kwa mara na kuyaweka sawa ili yasomeke kwa rika zote. Mfano, ulichoandika hapo juu kinaweza kuandikwa upya na kuonekana kama hivi:Jaman hodi nmeingia huku napenda sana stori za kizushi na nimeshaweka stori 1 kwenye udaku pale, jaman nitarajie nini
SABABU:Jamani hodi nimeingia huku. Napenda sana 'stori' za kizushi na nimeshaweka stori 1 kwenye udaku pale. Nitarajie nini?
Karibu; hapa JF moderators wanaweza kuwa wanayapitia maandishi yako mara kwa mara na kuyaweka sawa ili yasomeke kwa rika zote. Mfano, ulichoandika hapo juu kinaweza kuandikwa upya na kuonekana kama hivi:
SABABU:
- Umeandika neno 'jaman' na halipo kwenye kamusi ya kiswahili, ukalirudia na uandishi hauruhusu hivyo.
- Ilikuwa ni sentensi moja ambayo ilitakiwa kutenganishwa.
- Stori si neno la kiswahili, kwa kuanzia unaliweka kwenye mabano kisha baadaye unaendelea na 'flow' yako.
- Jitahidi andika neno zimazima, wengine humu ni over 60yrs, wanahitaji kukusoma na kukuelewa.
KARIBU SANA
oa
Jaman hodi nmeingia huku napenda sana stori za kizushi na nimeshaweka stori 1 kwenye udaku pale, jaman nitarajie nini