Hi everyone, am a guest here

Shudu96

Member
Dec 1, 2011
8
0
Jaman hodi nmeingia huku napenda sana stori za kizushi na nimeshaweka stori 1 kwenye udaku pale, jaman nitarajie nini
 
Jaman hodi nmeingia huku napenda sana stori za kizushi na nimeshaweka stori 1 kwenye udaku pale, jaman nitarajie nini
Karibu; hapa JF moderators wanaweza kuwa wanayapitia maandishi yako mara kwa mara na kuyaweka sawa ili yasomeke kwa rika zote. Mfano, ulichoandika hapo juu kinaweza kuandikwa upya na kuonekana kama hivi:
Jamani hodi nimeingia huku. Napenda sana 'stori' za kizushi na nimeshaweka stori 1 kwenye udaku pale. Nitarajie nini?
SABABU:

  • Umeandika neno 'jaman' na halipo kwenye kamusi ya kiswahili, ukalirudia na uandishi hauruhusu hivyo.
  • Ilikuwa ni sentensi moja ambayo ilitakiwa kutenganishwa.
  • Stori si neno la kiswahili, kwa kuanzia unaliweka kwenye mabano kisha baadaye unaendelea na 'flow' yako.
  • Jitahidi andika neno zimazima, wengine humu ni over 60yrs, wanahitaji kukusoma na kukuelewa.

KARIBU SANA

:poa
 
Karibu; hapa JF moderators wanaweza kuwa wanayapitia maandishi yako mara kwa mara na kuyaweka sawa ili yasomeke kwa rika zote. Mfano, ulichoandika hapo juu kinaweza kuandikwa upya na kuonekana kama hivi:

SABABU:

  • Umeandika neno 'jaman' na halipo kwenye kamusi ya kiswahili, ukalirudia na uandishi hauruhusu hivyo.
  • Ilikuwa ni sentensi moja ambayo ilitakiwa kutenganishwa.
  • Stori si neno la kiswahili, kwa kuanzia unaliweka kwenye mabano kisha baadaye unaendelea na 'flow' yako.
  • Jitahidi andika neno zimazima, wengine humu ni over 60yrs, wanahitaji kukusoma na kukuelewa.

KARIBU SANA

:poa

Invisible una akili kama Nyerere.
BTW: Karibu mkuu shudu, ila jina lako lanipa shaka, nadhani ni mbadala wa pumba, ama?
 
Back
Top Bottom