mkushimkuu
Member
- Aug 27, 2024
- 12
- 11
We jamaa acha hizo mkuuWenyewe wanamuita kiboko wa Makobazi. Wafuga ndevu za wakimsikia wanakula wima.😄
We jamaa acha hizo mkuuWenyewe wanamuita kiboko wa Makobazi. Wafuga ndevu za wakimsikia wanakula wima.😄
Hiyo ni Confirmed!!!!Hii ni statement imetolewa na muyahudi kuhusu Hezbollah wewe wa nanjilinji unasema Hezbollah hawapo
🇮🇱🇺🇸❌🇱🇧🇱🇧🇮🇷 Reuters, citing two high-ranking Lebanese officials, states that Israel has conveyed a message to Lebanon warning that it will carry out extreme strikes in Lebanon, including on civilian infrastructure and Beirut airport if Hezbollah intervenes in any war between the United States and Iran.
@Palestine_Updates
Imepaki Historia mashariki ya kati no more HizbolahMzayuni ni tegemezi wa msaada wa US
Na ikitokea Raisi wa US Kama ilivyo Trump Yukon poa kutoa mabilioni ya hela ya silaha, mzayuni ataonekane ni mshindi kila siku
Ikitokea Kama ilivyotokea 2006 wakati wa Bush,hakuwapa senti ya msaada, walikula kipondo
Kwani naninyi si mnamtegemea alla mbona kila siku anafali,hata Maka ina lindwa na mazayuni kupitia USA.Mzayuni ni tegemezi wa msaada wa US
Na ikitokea Raisi wa US Kama ilivyo Trump Yukon poa kutoa mabilioni ya hela ya silaha, mzayuni ataonekane ni mshindi kila siku
Ikitokea Kama ilivyotokea 2006 wakati wa Bush,hakuwapa senti ya msaada, walikula kipondo
Jeshi la 6 duniani kwa ubora. IDF ni sisimizi.Wapo, waliomuua kiongozi wao ni US si Israel... Israel hawana ndege yenye uwezo wa kubeba bunker buster nzito.
Jeshi la Israel lilishindwa kuingia Lebanon. walipambana wakadhibitiwa na Hezbollah.
Yote na yote wapo vizuri sana, kupambana na nchi kama Israel ikisaidiwa na US hata TPDF iungane na KDF na UPDF hawana uwezo kupambana na IDF inayopewa msaada wa kila aina toka US na Magharibi.
Wamekua simba wa kwenye makaratasi kwa sasa wanatia huruma na kuomba rehema kutoka kwa mayahudi.Hezbollah bado ipo na ina ushawishi Lebanon. Kushindwa battle haimaanishi ndio kimeshindwa VITA. Ni kama Venezuela tu wameteka kiongozi ila uongozi wote uliobaki bado upo intact na maisha yanaendelea.
Kumbe wapo? Nilifikiri kimeshakufa!!Wamekua simba wa kwenye makaratasi kwa sasa wanatia huruma na kuomba rehema kutoka kwa mayahudi.
Wajichanganye tena waone
Ustadhi Mukhaila Ahmed Masanyiwa.Tomorrow is Jumaat. Go and pray Allah's divine and sence in your life.Kumbe wapo? Nilifikiri kimeshakufa!!
Hitler alizingua sana kuwaacha wayahudi, ilitakiwa awamalize wote hii shida isingekuwepo tena.
Unfortunately I'm not a Muslim, it's jaw-dropping how supporting Hezbollah and Hamas makes you Muslim?Ustadhi Mukhaila Ahmed Masanyiwa.Tomorrow is Jumaat. Go and pray Allah's divine and sence in your life.
Yes that's what Israel says when it kills thousand of inocent women and kids everyday!! don't forget Israel has killed a lot of nationals from media workers to relief workers, diplomats and so on but its not collateral damage is it?I vividly remember when you triumphed when Joshua(a young innocent Tanzanian) that was killed by your fellow jihadists in a cold blood
Not really, that piece of land has been part of Palestine at least before the occupation of 1967!! its more of a Tanzanian getting killed in Donbass Ukraine!! Just being caught in a crossfire!!as he innocently walked past the vicinity where Israelites were holding social gathering.
The irony of lamenting on the death of Joshua but ignoring the fact that over 100,000 "Joshuas" have been killed as collateral damage!! All in the name of blowing terrorist hideouts.you just commented on this forum; kifo ya Joshua ni Collateral Damage: simultaneously condemning israel for browing up terrorists(Hamas) hideouts.
Allah na mudi ndio tegemeo lao.Sasa kobaz unalia nn?
C na nyie Mtafute tegemezi ili mumuondoe Israel kwenye uso wa dunia 😂
Not really I don't hate Jews I hate ZIONISTS!! Also supporting innocent Palestine civilians doesn't make me a Muslim.your hatred towards Jews and Christians is Palpable.
Kusema kweli safari hii IDF wameniangusha sana ilitakiwa baada ya Oct 07,2023 wasingeweza pimbi na mkia wake walitakiwa wamalize kazi huko Gaza kabisa ili kuondoka Oct 07 nyingine siku zijazo!! Huruma zao kwa magaidi ndiyo omeleta haya yote!!Kumbe wapo? Nilifikiri kimeshakufa!!
Hitler alizingua sana kuwaacha wayahudi, ilitakiwa awamalize wote hii shida isingekuwepo tena.
Acha unafiki wakati wewe ni Mwislamu kabisa!!Not really I don't hate Jews I hate ZIONISTS!! Also supporting innocent Palestine civilians doesn't make me a Muslim.
I'm a Christian tena mlokole but I hate zionists, so stop the assumptions. Nyerere, Lissu, and Mandela supported a Free Palestine did that make them any less-christians?
according to you; Joshua was Zionist that why you had a Blissful moment when He was unalived by your fellow mOOn worshipers.Not really I don't hate Jews I hate ZIONISTS!! Also supporting innocent Palestine civilians doesn't make me a Muslim.
I'm a Christian tena mlokole but I hate zionists, so stop the assumptions. Nyerere, Lissu, and Mandela supported a Free Palestine did that make them any less-christians?
they don't monopoly the truth and remember they are politicians that constantly try their best to be political correct. if you had known this you wouldn't have used them as a eference.Nyerere, Lissu, and Mandela supported a Free Palestine did that make them any less- Christians?.
Yaaani nyie jamaa hua ni kichekesho sana kukubali kushindwa ni sehemu pia ya mpambano ISRAEL ndio ili muangamiza huyo Bi Nasrah Full stop 🛑Wapo, waliomuua kiongozi wao ni US si Israel... Israel hawana ndege yenye uwezo wa kubeba bunker buster nzito.
Jeshi la Israel lilishindwa kuingia Lebanon. walipambana wakadhibitiwa na Hezbollah.
Yote na yote wapo vizuri sana, kupambana na nchi kama Israel ikisaidiwa na US hata TPDF iungane na KDF na UPDF hawana uwezo kupambana na IDF inayopewa msaada wa kila aina toka US na Magharibi.
Unaweza thibitisha popote pale mimi ni muislam?Acha unafiki wakati wewe ni Mwislamu kabisa!!
Comment yako tu inafurahia vifo vya wapalestina, hivyo kwa mtazamo huo na wewe nikisema sio mkristo nakuwa sahihi?Kama Mkristo huwezi kuwa na chuki UKRISTO ni upendo na Hate hiyo imejaa vifuani mwa waislamu.
Gwajima mbona ameipinga Israel waziwazi dhidi ya kuua wapalestina wasio na hatia? Si mlokole yule maana yupo CPCT!!Mkristo wa kweli hawezi kuichukia Israel na Wayahudi labda tu awe Mkristo-koko kama wewe unavyojinasibu Eti Mlokole!!!
Mlokole gani mwenye chuki dhidi ya Israel na wayahudi?
Yeap just like tens of Tanzanians stuck in Donbass or Syria!! they are collateral damage.according to you; Joshua was Zionist that why you had a Blissful moment when He was unalived by your fellow mOOn worshipers
Ooooh so supporting Palestine is being politically correct, but religously wrong is it? If its about religion then every denomination should invade its promised landthey don't monopoly the truth and remember they are politicians that constantly try their best to be political correct. if you had known this you wouldn't have used them as a eference.
Yesu mwenyewe alisema Mathayo 7:16 Ye shall know them by their fruits. Do men gather grapes of thorns, or figs of thistles?Unaweza thibitisha popote pale mimi ni muislam?
Hao wanasiasa unaowaramba miguu uliwasikia wakisema mauaji yoyote ya Wayahudi yaliyokuwa yanafanyika na waarabu?Ni hivi unaweza kuwa mkristo lakini ukachukia uonevu ndio maana Lissu, Mandela, Nyerere wameisupport sana palestina na kuwapinga wayahudi licha ya kwamba ni wakristo tena Nyerere ndio kabisa anataka kupewa na utakatifu!!!
Wewe mwenyewe Oct 07,2023 ulikuwa unafurahia kwa vitendo walivyofanya Mabwana zako kwa kuua raia zaidi ya 1,200 na kuteka wengine 251 hata Israel I nahangaika kuwakomboa mateka hao ulikuwa unafurahia sana cha ajabu nchi hiyo iliyo wako boa wote uliufyata mkia wako.Comment yako tu inafurahia vifo vya wapalestina, hivyo kwa mtazamo huo na wewe nikisema sio mkristo nakuwa sahihi?
Who is Gwajima by the way!!!! Ndiyo maana kila wakati huwa nawaambia ninyi ni wajinga manadanganyika sana na maneno ya wanasiasa kwa akili yako wewe ulitaka aibu he Mkono Israel akose kura za Waislamu? CPCT ndiyo ujinga gani huo ambao kila kukicha wanalilia kualikwa kwenda kunyea chai Ikulu!!!! Hao ni wasaka tonge tu kama viongozi wengine wa dini. Toka Oct 29,2025 umesikia wamekemea mauaji yaliyofanyika hapa nchin? Acha ujinga kuamini wanasiasa!!!Gwajima mbona ameipinga Israel waziwazi dhidi ya kuua wapalestina wasio na hatia? Si mlokole yule maana yupo CPCT!!