HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,935
- 102,690
Ukitumia akili utaelewa US hajahusikaWapo, waliomuua kiongozi wao ni US si Israel... Israel hawana ndege yenye uwezo wa kubeba bunker buster nzito.
Jeshi la Israel lilishindwa kuingia Lebanon. walipambana wakadhiitiwa na Hezbollah.
Yote na yote wapo vizuri sana, kupambana na nchi kama Israel ikisaidiwa na US hata TPDF iungane na KDF na UPDF hawana uwezo kupambana na IDF inayopewa msaada wa kila aina toka US na Magharibi.