100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,791
- 30,965
Haijahusikaje bunker buster walizotumia zimetoka US?Ukitumia akili utaelewa US hajahusika
Haijahusikaje bunker buster walizotumia zimetoka US?Ukitumia akili utaelewa US hajahusika
Sasa wewe mvalizhwa Pampers hivi unamtegemea shoga ?Sasa kobaz unalia nn?
C na nyie Mtafute tegemezi ili mumuondoe Israel kwenye uso wa dunia 😂
Kwaio wenzetu mshazoea kuedit biblia ? Itakua toleo la ngapi hili?Hezbollah, waliishiaga wapi? Hawa watu liaminishwa ni hatari kuliko Hamas
Ulivyo mjinga hata hujui kuwa Marekani na Israel ni Washirika!!Kwa hio Israel wao ni omba omba mpaa wanaomba USA apigane na Iran kama wao vidume siwakampiige wenyewe Iran.
Kwa kuwa wewe nini shoga hivyo unafikiria wote ni Mashoga kama wewe ulivyo!!!!!Sasa wewe mvalizhwa Pampers hivi unamtegemea shoga ?
Ushauri wangu kwako,kabla hujaandikabkitu fanya utafiti ujue hizbollah ni kina nani,ni kwanini waliibuka,je wanapigania nini,na mpaka sasa wamefanya nini.Je huko Lebanon wamefanya nini mpaka sasa.Unapopata taarifa za kutosha za pande zote ndipo uandike unachotaka kuandikaHezbollah, waliishiaga wapi? Hawa watu liaminishwa ni hatari kuliko Hamas
Acha kulalamika wakati Hezbollah walipigwa!! Kama ni ushauri kawape Hezbollah maana sasa hivi wanapigwa kama Ngoma!!!Ushauri wangu kwako,kabla hujaandikabkitu fanya utafiti ujue hizbollah ni kina nani,ni kwanini waliibuka,je wanapigania nini,na mpaka sasa wamefanya nini.Je huko Lebanon wamefanya nini mpaka sasa.Unapopata taarifa za kutosha za pande zote ndipo uandike unachotaka kuandika
Hata hao Hezbollah bila msaada wa Iran, sio kitu, hawana lolote la kuwatishia Israel hata kama hawasaidiwi na US.Wapo, waliomuua kiongozi wao ni US si Israel... Israel hawana ndege yenye uwezo wa kubeba bunker buster nzito.
Jeshi la Israel lilishindwa kuingia Lebanon. walipambana wakadhiitiwa na Hezbollah.
Yote na yote wapo vizuri sana, kupambana na nchi kama Israel ikisaidiwa na US hata TPDF iungane na KDF na UPDF hawana uwezo kupambana na IDF inayopewa msaada wa kila aina toka US na Magharibi.
Ndio sababu Israel anatufata scandal kumbe washirika afu anafanya ujasusi kumchunguza US kumbe washirika kweli we kuosha vyoo kule Tela Aviv panakufaa sana wala wasikufukuze.Ulivyo mjinga hata hujui kuwa Marekani na Israel ni Washirika!!
Kwa kuwa wewe nini shoga hivyo unafikiria wote ni Mashoga kama wewe ulivyo!!!!!
Myahudi anakupokea Kama unavyokuja. Ukija kigaidi anakupokea kigaidi zaidi 😆😆.Israel alivyokosa akili, siku ya mazishi ya majivu ya kiongozi wao akapita na ndege zake za kivita😀
Acha Propaganda Uchwara hizo!!!
kasome upyaHaijahusikaje bunker buster walizotumia zimetoka US?
Nyie tafuta ambaye sio shogaSasa wewe mvalizhwa Pampers hivi unamtegemea shoga ?
Ahha Hilo kwenye biblia linawezekana mbona.
Ndo uzuri wa bible una edit tu unatoa copy
Dondosha na wewe kama kile tuoneKile kwa mudi yale mandishi ua kiarabu mnayosoma toka kulia kwenda kushoto nasikia alaa alidondondosha ila uislam bwana kwahiyo mungu alidondosha kitabu
Ili nami nipate mazombi yangu kazaa niyaaahidi mabikra 80 yakijiua na pombeee taaamuu. Mwamedi alikua muongo sana na alah lwakubalu wakeDondosha na wewe kama kile tuone
Hii ni statement imetolewa na muyahudi kuhusu Hezbollah wewe wa nanjilinji unasema Hezbollah hawapoMyahudi alifyeka uongozi mzima wa Hezbollah ndani ya week mbili. Fanya mchezo nini?!