Hezbollah waliendaga wapi? Netanyahu aongezwe kwenye biblia

Hezbollah waliendaga wapi? Netanyahu aongezwe kwenye biblia

Hezbollah, waliishiaga wapi? Hawa watu liaminishwa ni hatari kuliko Hamas
Ushauri wangu kwako,kabla hujaandikabkitu fanya utafiti ujue hizbollah ni kina nani,ni kwanini waliibuka,je wanapigania nini,na mpaka sasa wamefanya nini.Je huko Lebanon wamefanya nini mpaka sasa.Unapopata taarifa za kutosha za pande zote ndipo uandike unachotaka kuandika
 
Ushauri wangu kwako,kabla hujaandikabkitu fanya utafiti ujue hizbollah ni kina nani,ni kwanini waliibuka,je wanapigania nini,na mpaka sasa wamefanya nini.Je huko Lebanon wamefanya nini mpaka sasa.Unapopata taarifa za kutosha za pande zote ndipo uandike unachotaka kuandika
Acha kulalamika wakati Hezbollah walipigwa!! Kama ni ushauri kawape Hezbollah maana sasa hivi wanapigwa kama Ngoma!!!
 
Wapo, waliomuua kiongozi wao ni US si Israel... Israel hawana ndege yenye uwezo wa kubeba bunker buster nzito.

Jeshi la Israel lilishindwa kuingia Lebanon. walipambana wakadhiitiwa na Hezbollah.

Yote na yote wapo vizuri sana, kupambana na nchi kama Israel ikisaidiwa na US hata TPDF iungane na KDF na UPDF hawana uwezo kupambana na IDF inayopewa msaada wa kila aina toka US na Magharibi.
Hata hao Hezbollah bila msaada wa Iran, sio kitu, hawana lolote la kuwatishia Israel hata kama hawasaidiwi na US.

Vv
 
Ulivyo mjinga hata hujui kuwa Marekani na Israel ni Washirika!!
Ndio sababu Israel anatufata scandal kumbe washirika afu anafanya ujasusi kumchunguza US kumbe washirika kweli we kuosha vyoo kule Tela Aviv panakufaa sana wala wasikufukuze.
 
Kwa kuwa wewe nini shoga hivyo unafikiria wote ni Mashoga kama wewe ulivyo!!!!!

Unashabikia mashoga tukuone vipi kijana wewe ???


 
Nakumbuka tu viongozi wao wakuu walifyekwa mmoja baada ya mwingine, kwasasa kiongozi wao mkuu alirejea uongozini kutoka ustaafu!.
 
Kile kwa mudi yale mandishi ua kiarabu mnayosoma toka kulia kwenda kushoto nasikia alaa alidondondosha ila uislam bwana kwahiyo mungu alidondosha kitabu
Ahha Hilo kwenye biblia linawezekana mbona.
Ndo uzuri wa bible una edit tu unatoa copy
 
Kile kwa mudi yale mandishi ua kiarabu mnayosoma toka kulia kwenda kushoto nasikia alaa alidondondosha ila uislam bwana kwahiyo mungu alidondosha kitabu
Dondosha na wewe kama kile tuone
 
Myahudi alifyeka uongozi mzima wa Hezbollah ndani ya week mbili. Fanya mchezo nini?!
Hii ni statement imetolewa na muyahudi kuhusu Hezbollah wewe wa nanjilinji unasema Hezbollah hawapo

🇮🇱🇺🇸❌🇱🇧🇱🇧🇮🇷 Reuters, citing two high-ranking Lebanese officials, states that Israel has conveyed a message to Lebanon warning that it will carry out extreme strikes in Lebanon, including on civilian infrastructure and Beirut airport if Hezbollah intervenes in any war between the United States and Iran.

@Palestine_Updates
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom