Kina khamenei na mazayuni wote ni ndugu. Kuwa na uadui na mmoja sio lazima uwe na urafiki na mwengine.
Mataifa ya kiarabu hayana urafiki na mazayuni. Na mazayuni wenyewe nadhani wanalijua hili, kilichokuwepo kwa baadhi ya Nchi za Kiislam zinazoonekana zina mahusiano fulani na mazayuni ni diplomasia tu na kufanya amani tu kwa maslahi mapana ya Nchi zao na Waislam.
Na kama kuna watu mazayuni wanawahofia mno basi ni Ahlus-Sunnah wanaposhikamana na Dini yao, mazayuni hawaogopi slogans, hawaogopi kuchoma bendera, hawaogopi maandamano. Wanachoogopa ni Waislam kushikamana na njia ya Maswahaba (Allah Awaridhie) waliopewa ushindi mwanzoni kabisa.
Wenye akili miongoni mwao mazayuni wanajua kuwa ni Ahlus-Sunnah ndio hatari kwao na downfall yao itakuwa kwa mikono ya Ahlus-Sunnah walioshikamana na Dini yao, kwa idhini ya Allah.
Kwa mazayuni ni bora mashia rafidha (akina khamenei) kuliko Ahlus-Sunnah.
Hata huu uadui wa akina khamenei na mazayuni siuamini amini na kama ni wa kweli basi ni uadui wa ndugu wawili ambao wote wanawachukia mno Ahlus-Sunnah.