Hezbollah waliendaga wapi? Netanyahu aongezwe kwenye biblia

Hezbollah waliendaga wapi? Netanyahu aongezwe kwenye biblia

Yaani anguko la Hezbollah inabidi lifanyiwe utafiti, sababu jamaa sasa hivi hawarushi hata jiwe na kila siku wanabondwa
Myahudi alifyeka uongozi mzima wa Hezbollah ndani ya week mbili. Fanya mchezo nini?!
 

Attachments

  • IMG_6991.jpeg
    IMG_6991.jpeg
    186.8 KB · Views: 4

View: https://youtu.be/fEv46brfZ5U?si=oaIooeppYs6263gB

Nyie mnao uliza Hezbullah wako wapi, huyo mnaye msifu kawamaliza Hezbullah jana alikuwa ana lalamika Hezbullah atatushambulia ana ngojea kupewa green light na Iran 😄

We huoni kila kukicha ana shambulia Lebanon sababu PM wa Lebanon na Foreign Ministry wa Lebanon wanawapa support Isreal na wako against Hezbullah. Wanazuia Hezbullah asijibu wakati wao wanasema Israel anahaki kushambulia Hezbullah hivi hao kweli wa Lebanon au ni mapuppet wa USA

Hezbollah ilikuwepo enzi za Gaidi Hassan Nasrallah hii ya sasa ni Mdebwedo tu!!!
 
Ni 6 walikuwa wanasetting target za Missiles ambazo zitashambulia Israel sa mbona mnadai wamekwisha hahaha vipi Israel awe anawashambulia basi kumbe bado wapo
Hivi yule gaidi nasralah aliishia wapi?😁😁😁
 
Huyu yule gaidi nasralah aliishia wapi?😁😁😁
Aliuliwa kwa kutumia ndege karibu 40 na kurusha 80 tons za silaha hapo ndio ujuwe Mwanaume wa vipi huyo.

Na hapo ndio ujuwe ujinga wa Israeli anatumia ndege 40 na 80 tons kwa mtu mmoja tu kweli silaha ya bure nasikini wamarekani wanalipa kodi zinaishia Israel 😆 😂
 
Wapo, waliomuua kiongozi wao ni US si Israel... Israel hawana ndege yenye uwezo wa kubeba bunker buster nzito.

Jeshi la Israel lilishindwa kuingia Lebanon. walipambana wakadhiitiwa na Hezbollah.

Yote na yote wapo vizuri sana, kupambana na nchi kama Israel ikisaidiwa na US hata TPDF iungane na KDF na UPDF hawana uwezo kupambana na IDF inayopewa msaada wa kila aina toka US na Magharibi.
Kwamba unaona aibu kusema Israel anawanyoosha? 😂

Kobaz Vumilia tuu mana huu uzi unaweza kukufanya utafute maji unywe wakati mpo kwenye siku zenu za kubadili ratiba za kula 😂
 

View: https://youtu.be/fEv46brfZ5U?si=oaIooeppYs6263gB

Nyie mnao uliza Hezbullah wako wapi, huyo mnaye msifu kawamaliza Hezbullah jana alikuwa ana lalamika Hezbullah atatushambulia ana ngojea kupewa green light na Iran 😄

We huoni kila kukicha ana shambulia Lebanon sababu PM wa Lebanon na Foreign Ministry wa Lebanon wanawapa support Isreal na wako against Hezbullah. Wanazuia Hezbullah asijibu wakati wao wanasema Israel anahaki kushambulia Hezbullah hivi hao kweli wa Lebanon au ni mapuppet wa USA


Ina maana wewe hujui uhusiano wa Iran na makundi yake ya kigaidi dhidi ya mataifa ya Kiarabu?
Hizo nchi zote za kiarabu zinamwona Ayatollah ni shetani anayetengeneza hayo makundi ua kigaidi dhidi ya mataifa yao.

Mataifa mengi ya kiarabu ni marafiki wa siri wa Israel kwani Israel ndiyo nchi pekee wanayoitegemea katika kuidhibiti Iran na makundi yake ya kiarabu, ndiyo maana Israel huwa inapewa kiurahisi taarifa za kiintelijensia kuhusu hao magaidi wako wapi au wanapanga kuwa wapi.
 
Aliuliwa kwa kutumia ndege karibu 40 na kurusha 80 tons za silaha hapo ndio ujuwe Mwanaume wa vipi huyo.

Na hapo ndio ujuwe ujinga wa Israeli anatumia ndege 40 na 80 tons kwa mtu mmoja tu kweli silaha ya bure nasikini wamarekani wanalipa kodi zinaishia Israel 😆 😂

Sasa mbona nyie kobaz mnashindwa kumuua Netanyahu Hata kwa ndege moja au hata mgambo mmoja?

Au mnasubir afe kwa kusudio la Mungu ili nanyi mpite na habari za kifo chake? 😂
 
Ni 6 walikuwa wanasetting target za Missiles ambazo zitashambulia Israel sa mbona mnadai wamekwisha hahaha vipi Israel awe anawashambulia basi kumbe bado wapo
Kwahy umekubali Kuna ambao wameuawa 😂 makobaz akili zenu mnazijua wnyw
 
Ina maana wewe hujui uhusiano wa Iran na makundi yake ya kigaidi dhidi ya mataifa ya Kiarabu?
Hizo nchi zote za kiarabu zinamwona Ayatollah ni shetani anayetengeneza hayo makundi ua kigaidi dhidi ya mataifa yao.

Mataifa mengi ya kiarabu ni marafiki wa siri wa Israel kwani Israel ndiyo nchi pekee wanayoitegemea katika kuidhibiti Iran na makundi yake ya kiarabu, ndiyo maana Israel huwa inapewa kiurahisi taarifa za kiintelijensia kuhusu hao magaidi wako wapi au wanapanga kuwa wapi.
Punguzeni story za kuliswha matango kanisani, Saud Arabia kisha sema hawezi kuwa na uhusiano na Israel na anaye kuambia nchi za kiarabu zina uadui na Iran nani. Nchi za kiarabu zinapotezwa na USA. Ukiona nchi ya kiarabu ina uadui na Iran basi kuna mkono wa USA.
 
Mzayuni ni tegemezi wa msaada wa US
Na ikitokea Raisi wa US Kama ilivyo Trump Yukon poa kutoa mabilioni ya hela ya silaha, mzayuni ataonekane ni mshindi kila siku
Ikitokea Kama ilivyotokea 2006 wakati wa Bush,hakuwapa senti ya msaada, walikula kipondo
Hezbollah wako wapi?
Tumewamiss sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom