HESLB yatangaza kupokea maombi 2016/2017

Je kwa mfano mtu kasoma arts na kapata division three na anataka asome education hapo inakuwaje mkuu
Ukiangalia guidelines za cluster priority 1 zinaonesha
Educatio science na kama ulisoma masomo ya sayansi na uka apply sayansi course ukapata lazima mkopo upate. hutoweza kukosa mkopo hasa kama unataka kusomea ualimu!walimu bado ni tatizo japo wa sayansi ni tatizo zaidi!


Lakini kama umesoma art na umepata three na unataka kusoma ualimu bado una nafasi ndogo ya kupata.
 
Page no ngapi wameongelea hilo suala la div 1 an 2 katika Guidline ya HESLB mkuu?
Mkuu hao wengine inaonesha hata hiyo GuideBook hawajaisoma, bali wamehadithiwa tu!!! Ukweli Ni Kwamba Wanashindwa Kutofautisha Kati ya "LOAN (MKOPO), na GRANT (RUZUKU)"

Katika Guideline yao Hakuna Hata Sehemu Moja Waliyoandika Criteria (Vigenzo) vya Kupata Mkopo (Loan) Kuwa ni Div 1&2.
Bali (Criteria) Vigezo Vya Kupata Ruzuku (Grant) ndiyo Wameeka Div 1&2, au Kwa Wale Sifa Mbadala (Equivalent) Yaani "Diploma Holders) Wawe Na "Fist Class". Na Watalazimika Kufanya Kazi Tanzania Kwa Miaka Mitatu Baada ya Kuhitimu.

Lakini Cha Ajabu Watu Wameanza Kunukuu Vibaya Na Kuanza Kupakazia Uongo Mitaani, Sijui tatizo ni lugha iliyotumika (Kizungu) imekuwa vigumu kueleweka?!
 
wanapo sema ''means of test score" wanamanisha nini?
"Means of Test Score" wanamaanisha Kuwa "Ni Kule Kuangalia Kwa Wanafunzi Waliosoma Elimu Ya Secondari Shule Za Private" Haiwezekani Kuwa Private Ulikuwa Unalipa Mil 3.5 per year, halafu Upewe Mkopo wa Mil 2.5, hapo itabidi ujisomeshe Mwenyewe coz itakuwa uwezo unao.
Au Diploma Umesoma Nairobi na Ulilipa Mil 4 per year ukataka upewe mkopo hilo halitawezekana.

Mkuu Hiyo Ndiyo Kuangalia Means Of Test Score.
 
"Means of Test Score" wanamaanisha Kuwa "Ni Kule Kuangalia Kwa Wanafunzi Waliosoma Elimu Ya Secondari Shule Za Private" Haiwezekani Kuwa Private Ulikuwa Unalipa Mil 3.5 per year, halafu Upewe Mkopo wa Mil 2.5, hapo itabidi ujisomeshe Mwenyewe coz itakuwa uwezo unao.
Au Diploma Umesoma Nairobi na Ulilipa Mil 4 per year ukataka upewe mkopo hilo halitawezekana.

Mkuu Hiyo Ndiyo Kuangalia Means Of Test Score.

je ile sehem kwenye form ambayo inatakiwa ijazwe na dean of student ina maanisha nini? vip kama mtu ulisha maliza diploma toka mwaka jana, sasa dean of student ni lazima akusainie ??
 
Art haikuwai kuwa priority zaidi ya ualimu na science hivyo msiogope vijana we fanya application.
weeee mwaka jana non _education science na non_mathematic ilikuwa kwenye cluster ya pili so usiseme art haijawahi kuwa priority bhana sema mwaka huu hata kwahiyo cluster ya pili wameondoa na kudeclair kuwa is non _priority
 
Mkuu hao wengine inaonesha hata hiyo GuideBook hawajaisoma, bali wamehadithiwa tu!!! Ukweli Ni Kwamba Wanashindwa Kutofautisha Kati ya "LOAN (MKOPO), na GRANT (RUZUKU)"

Katika Guideline yao Hakuna Hata Sehemu Moja Waliyoandika Criteria (Vigenzo) vya Kupata Mkopo (Loan) Kuwa ni Div 1&2.
Bali (Criteria) Vigezo Vya Kupata Ruzuku (Grant) ndiyo Wameeka Div 1&2, au Kwa Wale Sifa Mbadala (Equivalent) Yaani "Diploma Holders) Wawe Na "Fist Class". Na Watalazimika Kufanya Kazi Tanzania Kwa Miaka Mitatu Baada ya Kuhitimu.

Lakini Cha Ajabu Watu Wameanza Kunukuu Vibaya Na Kuanza Kupakazia Uongo Mitaani, Sijui tatizo ni lugha iliyotumika (Kizungu) imekuwa vigumu kueleweka?!
 
Mkuu hao wengine inaonesha hata hiyo GuideBook hawajaisoma, bali wamehadithiwa tu!!! Ukweli Ni Kwamba Wanashindwa Kutofautisha Kati ya "LOAN (MKOPO), na GRANT (RUZUKU)"

Katika Guideline yao Hakuna Hata Sehemu Moja Waliyoandika Criteria (Vigenzo) vya Kupata Mkopo (Loan) Kuwa ni Div 1&2.
Bali (Criteria) Vigezo Vya Kupata Ruzuku (Grant) ndiyo Wameeka Div 1&2, au Kwa Wale Sifa Mbadala (Equivalent) Yaani "Diploma Holders) Wawe Na "Fist Class". Na Watalazimika Kufanya Kazi Tanzania Kwa Miaka Mitatu Baada ya Kuhitimu.

Lakini Cha Ajabu Watu Wameanza Kunukuu Vibaya Na Kuanza Kupakazia Uongo Mitaani, Sijui tatizo ni lugha iliyotumika (Kizungu) imekuwa vigumu kueleweka?!
kusoma kote guidebook sijaona sehemu iliyoandikwa criteria ya dv1&2 na kama ipo u niambie ni pg ipi
 
Back
Top Bottom