Taured
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 806
- 670
Baada ya kuambiwa waoendoe 10% penalty na 6% kama VRF yaani huwezi amini balance ya Deni la heslb mwezi may na June 2021 inatofautiana kwa Shs 15/= tu wakati makato ya 15% kwenye basic salary yamebaki constant!
Ama kweli naanza kuamini kwamba hii board haina nia nzuri na watanzania maskini na naweza sema huu ni mradi pengine wa mtu! Rais naomba aingilie kati huu wizi wa wazi kabisa na kama watendaji wa board wameahindwa kazi Bora watoke tu kwa nini wanatubebesha mzigo huu?
Ama kweli naanza kuamini kwamba hii board haina nia nzuri na watanzania maskini na naweza sema huu ni mradi pengine wa mtu! Rais naomba aingilie kati huu wizi wa wazi kabisa na kama watendaji wa board wameahindwa kazi Bora watoke tu kwa nini wanatubebesha mzigo huu?