Ulimwenguni popote pale hakuna sheria yoyote inayotungwa halafu ikawa applied retrospectively. Sheria zote mpya zinazotungwa zinakuwa applied prospectively.
Maana yake ni kwamba wale wafaidika wa bodi ya mikopo waliokopa mikopo wakati sheria inasema makato ni 8%. Basi wanatakiwa kuendelea kukatwa 8% katika mishahara yao.
Ila wanafunzi wapya ambao watakopa wakati sheria imebadilishwa na kuwa makato ni 15% ya mishahara yao, basi hao ndio wanatakiwa kukatwa 15% katika mishahara yao.
Nitashangaa sana WASOMI wetu waliosoma wakati sheria inasema kwamba makato ni 8% ya mshahara wao, kama watakubali kukatwa katika mishahara yao 15% (retrospectively). Nitawadharau sana na kuona nchi hii inafundisha UJINGA vyuoni.
For the food of thought. Nyerere aliwahi kuwakamata wahujumu uchumi. Baada ya kuwakamata akapeleka bungeni mswaada wa uhujumu uchumi ukapita na kuwa sheria. Watuhumiwa hao wakafungwa kwa sheria hiyo (retrospectively).
Lakini hao watuhumiwa wa uhujumu uchumi walikata rufaa, kwa misingi hiyo kwamba hawawezi kuhukumiwa kwa sheria ambayo haikuwepo wakati walipotenda kosa (retrospectively), walishinda wote kesi zao na kuachiwa huru.
Inaonekana tangu wakati wa Nyerere bado serikali haijajifunza kwamba sheria hazi apply retrospectively. Wasomi amkeni nendeni mka challenge huo uamuzi mahakamani, mtakuwa mme set good president kwa utawala wa sheria kama walivyofanya watuhumiwa wa uhujumu uchumi.
The ball is in your court WASOMI.
Maana yake ni kwamba wale wafaidika wa bodi ya mikopo waliokopa mikopo wakati sheria inasema makato ni 8%. Basi wanatakiwa kuendelea kukatwa 8% katika mishahara yao.
Ila wanafunzi wapya ambao watakopa wakati sheria imebadilishwa na kuwa makato ni 15% ya mishahara yao, basi hao ndio wanatakiwa kukatwa 15% katika mishahara yao.
Nitashangaa sana WASOMI wetu waliosoma wakati sheria inasema kwamba makato ni 8% ya mshahara wao, kama watakubali kukatwa katika mishahara yao 15% (retrospectively). Nitawadharau sana na kuona nchi hii inafundisha UJINGA vyuoni.
For the food of thought. Nyerere aliwahi kuwakamata wahujumu uchumi. Baada ya kuwakamata akapeleka bungeni mswaada wa uhujumu uchumi ukapita na kuwa sheria. Watuhumiwa hao wakafungwa kwa sheria hiyo (retrospectively).
Lakini hao watuhumiwa wa uhujumu uchumi walikata rufaa, kwa misingi hiyo kwamba hawawezi kuhukumiwa kwa sheria ambayo haikuwepo wakati walipotenda kosa (retrospectively), walishinda wote kesi zao na kuachiwa huru.
Inaonekana tangu wakati wa Nyerere bado serikali haijajifunza kwamba sheria hazi apply retrospectively. Wasomi amkeni nendeni mka challenge huo uamuzi mahakamani, mtakuwa mme set good president kwa utawala wa sheria kama walivyofanya watuhumiwa wa uhujumu uchumi.
The ball is in your court WASOMI.