HESLB kukata 15% ktk Mishahara ya wanufaika: Sheria haiwezi kutumika retrospectively

Sio sahihi katika kupandisha hicho kiwango.

Uongezaji wa makato haya bila taarifa ya mkopaji Ni uwizi. Ukiwauliza wanakwambia hiyo Ni " nyongeza Kwenye mkataba"( Addendum to the Contract) Kwa hiyo utailipa tu.

Tunaweza mtafuta mtaalamu wa sheria Na tukapinga nyongeza hii. Mimi Nipo tayari Kwa hili.

Hata ukichapisha sura Za wadaiwa haitasaidia. Cha msingi fuateni mbinu ambazo wadau wameshauri mara nyingi. Na ishu ya riba inapashwa kuondolewa kabisa Kwa kuwa hii Ndio inaongeza deni Linakuwa kubwa zaidi.

Mfano. Mimi nilimaliza mwaka 2012 Na hati ya deni kutoka Bodi ilikua 6 Million. Sasa baadaye mwaka huu 2016 nimeletewa hati ya 9 Million Na milioni 3 ikiwa ongezeko la riba ( loan administration fee, gharama ya kukutafuta, 1% ya mkopo mzima). Wakati kazi nimepata 2016.

Kwa hili hiyo Bodi inabidi wabadilike.
 
Wati wakikopa huko kwenye taasisi wanakatwa hadi 50% ya salary ola huu mkopo wa bodi usio na riba 15% wanalalamika.
 
Ukawa tunaomba muoneshe uwezo wenu katika hili, kuweka. Wanasheria mahili na kufungua kesi kwa niaba ya waathirika hawa kura zetu mtaendelea kuzipata 2020. Binafsi sijaona bado umuhimu wa kupiga kura kama hili litatekelezwa, kinaumiza sana kwa kweli
Kwani nini Ccm wasioneshe uwezo wao maana wao ndio wapo madarakani

Hii tabia ya kuita Ukawa mnapozidiwa na shida wakati mliwaamini Ccm mkawapa nchi huwa inanishangaza sana
 
Madam Mwajuma

Unajua hizo pesa ni walipa kodi wa watanzania. Walisema wahisani hawachangii tena , sijui kama Ni kweli.


Swali la kujiuliza: Ni kwa nini wadaiwa wengi hawajalipa?

Ni Kwamba hakuna mazingira mazuri ya upatikanaji ajira au kujiajiri.
 
Tutaishi hii nchi kama NYAU anaefukuzwa kila sehemu kutafta unafuu ...8- 15% sio kabisa
 
Hatareeee, kulipa lazima tutalipa ila sio kwa utaratibu ulio nje ya makubaliano. Mkataba ulishafungwa kwamba 8% makato kwa sie tuliosaini enzi zile....wasikurupuke kwa kila kitu, kuna lingine japo mida ya saa mbili kasoro usiku EATV lilikuwa likitolea maelezo yaani halijui kitu chochote kuhusiana na haya maswala...linajibu kwa mizuka tu!. Watuvumilie tu, sisi wengine tutalipa kwa 8% wakishindwa mm binafsi sitalipa hizo zilizosalia maana nawalipa hadi penalty wala sijalalamika mahali
 
Kwani ada ikipanda au boom lilivokuwa linaongezeka lilikuwa linawahusu wapya tu au wote?
 
Wati wakikopa huko kwenye taasisi wanakatwa hadi 50% ya salary ola huu mkopo wa bodi usio na riba 15% wanalalamika.
Wati wakikopa huko kwenye taasisi wanakatwa hadi 50% ya salary ola huu mkopo wa bodi usio na riba 15% wanalalamika.
Wati wakikopa huko kwenye taasisi wanakatwa hadi 50% ya salary ola huu mkopo wa bodi usio na riba 15% wanalalamika.
wewe unaelewa kweli? hakuna aliyekataa kulipa, kama hao walikubaliana 50% ni sawa walipe, lakini hapa sisi tulikubaliana 8%, na sio 15%. Tunastahili kulipa 8%
 
Back
Top Bottom