HESLB kukata 15% ktk Mishahara ya wanufaika: Sheria haiwezi kutumika retrospectively

Sasa hivi kila MTU mwoga,hakuna anayeweza kuhoji hatua hii ya serikali,
 
Mada ni nzuri sana tena inaleta mantiki kisheria, tatizo hiyo sheria yenyewe tunaijua ? Tukiijua,muendelezo wa mada utaleta suluhisho bora, vipi kama sheria yenyewe ilishaweka kiwango cha makato tuseme ilisema mnufaika anaweza kukatwa kati ya asilimia 5 hadi 20 ya mshahara wake, na ikampa waziri mwenye dhamana jukumu hilo la kupanga ? Nadhani tumuombe mwanasheria wetu (mtoa mada) atufafanulie kwanza hilo. Mengine yanaweza yakafuatia.
 
Wakuu nani anapokea Michango kwa ajili ya ku Hire wana sheria katika hili.
Nataka kutuma Mchango wangu jamani
 
Nadhani umeandika vizuri. Hata hivyo nadhani si sahihi kumwaga lawama zote kwa wasomi kwani Mara nyingi wasomi wanapaza sauti lakini serikali ikiamua imeamua. Haitaki kusikiliza mwanasiasa wala msomi!
Kwa hili ni la kisheria zaidi mkuu, likikaa vyema kisheria lina mashiko.
 
Ukawa tunaomba muoneshe uwezo wenu katika hili, kuweka. Wanasheria mahili na kufungua kesi kwa niaba ya waathirika hawa kura zetu mtaendelea kuzipata 2020. Binafsi sijaona bado umuhimu wa kupiga kura kama hili litatekelezwa, kinaumiza sana kwa kweli
Kwaiyo ccm sisi unaona akili zetu za darasa la saba nini
 
Nna hasira hadi nataka kupasuka...tutaishi maisha gani sisi ..pspf ,bod,nhif,income tax, nmb..bila kuwasahau chama cha wanyonge nao wakate tutabaki na nini jamani....
 
Hii Nchi walipewa wakoloni British watushikie kuhusu utawala hadi pale tutakapokuwa tayari sasa hadi leo hii bado hatujawa Tayari ni kama tunatembea backwards
 
Ukawa tunaomba muoneshe uwezo wenu katika hili, kuweka. Wanasheria mahili na kufungua kesi kwa niaba ya waathirika hawa kura zetu mtaendelea kuzipata 2020. Binafsi sijaona bado umuhimu wa kupiga kura kama hili litatekelezwa, kinaumiza sana kwa kweli
ukawa wanatoa wapi locus
legeza ubongo ww ukawa sio suluhisho la matatizo ya nchi hii
 
Wana sheria wa TZ ni watu wa hovyo hovyo tu!
Kule Arusha ndiyo maana Polisi wanawaweka Mahabusu wanasheria wakiamua tu kufanya hivyo!
Sheria inasema wazi kabisa,upande ambao utaingiza kipengele kipya ktk mkataba ulio kwisha sainiwa,MKATABA unakuwa ni "AVOIDABLE"

Kama nilisaini mkataba wa 8% huwezi badili kwa njia yyt ile hadi tukubaliane wote"CONTRACT OF ADHESION"
Kama mmoja kakataa inabaki ile ile 8% na ni issue ya kwenda tu Mahakamani na wanashinda easy tu
CHADEMA chama chenye nguvu,wanapoteza nafasi ya wazi kabisa ya kupata kura za wafanyakazi 2020 lkn wao macho yao ni kumtoa tu Lema jela!

Hata hizi operseheni zao uchwara zinakuwa hazina maana kama unashindwa kutengeneza mazingira mazuri
 
sheria inaweza fanya kazi retrospectively. hivi kwenye mkata kulikuwa na kipengele kuhusu % za kulipa?
 
Wanasheria kwanza kabisa wana kipato kikubwa,wana hela na si wabishi maana wamesoma psychology na jurisprudence,they reason!

Wanasheria wengi ndo wanaongzo kwa kilipa deni
 
Back
Top Bottom