Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
kuna kijana wa jirani yetu alidisco mwaka jana chuo flan huko mkoani morogoro,mwaka huu ameaply tena chuo lakn hakuapply mkopo ila cha ajabu heslb wametoa majina wamemweka kwenye category ya previous loanees,yani anatakiwa kuverify kwa heslb ili apewe bumu,je mtu anaweza kupata mkopo wakati hakuapply?