Abuwhythum
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 838
- 496
Nimeshangaa kuona mwezi huu sijakatwa 15% kwa ajili ya bodi ya mkopo. Ndo nimemaliza deni? Wamesahau? Nimesamehewa? Au ndo wamerudisha 8% kwa maana mwezi uliopita walikata pesa ya miezi miwili (Februari & Machi) kwa mkupuo?
Ikoje hii hali kwa wenzangu!?
Ikoje hii hali kwa wenzangu!?