HESLB: Batch One Out Now

Yani Kuna muda unatamani kulia sema ndio utu uzima kujikaza, nyumbani umeacha mzazi mgonjwa hadi kuomba hela aibu.
Yote heri lakini
Usikate tamaa mkuu. Najua situation unayopitia ndugu yangu maana hali za watanzania wengi ni za chini kwahiyo bila support ya mkopo kwakweli kuendelea na masomo ni mtihani mgumu.

Naamini Mungu atakuona na atajibu maombi yako kikamilifu ili utimize ndoto zako Amiin.
 
Weye tayari utapata!
Hongera sana,
Vuta subira kama walivyosema kabla ya tarehe 3
Shida mkuu kuna mtu aliandikiwa hivi kisha akapangiwa mkopo?

Na je, kwa aliyekosa ina maana akaunti yake haibadiliki kuwa SIPA?
 
Amiin
 
Account zote ndiyo zinavyo kuwa mara ya kwanza tokea batch 1, baada ya muda itabadilika na kuonyesha allocation.
 
Kuna matumaini kweli kwenye hii sentesi "wait for final results"
 

Attachments

  • Screenshot_20231102-000819_Chrome.jpg
    30 KB · Views: 22
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…