HESLB: Batch One Out Now

Ili uone kama umepata au lah ukisha log in unaenda wapi? Mdogo wangu hajui chochote
Bonyeza menu iko upande wa kushoto juu kabisa

Itakuletea options nyingi halafu chagua SIPA
kisha chagua allocation
Nenda kachague mwaka ambao utakuwa ni 2023/2024 kisha search uone
 
Bonyeza menu iko upande wa kushoto juu kabisa

Itakuletea options nyingi halafu chagua SIPA
kisha chagua allocation
Nenda kachague mwaka ambao utakuwa ni 2023/2024 kisha search uone
Sipa mbona siooni hapo mkuu, Nisaidie tafadhali
 

Attachments

  • IMG_5344.png
    68 KB · Views: 36
Bonyeza menu iko upande wa kushoto juu kabisa

Itakuletea options nyingi halafu chagua SIPA
kisha chagua allocation
Nenda kachague mwaka ambao utakuwa ni 2023/2024 kisha search uone
Hizi process mbn sizijui, account si ni ileike inabadilika yenyewe wakuu
 
Batch3 ndiyo ya mwisho walibakia kama wanafunzi 4300 ambao wamewekewa kuanzia juzi. Jumla wanufaika wanakuwa 75 elfu pamoja na continues wachache hawafiki ata 100.
 
Batch3 ndiyo ya mwisho walibakia kama wanafunzi 4300 ambao wamewekewa kuanzia juzi. Jumla wanufaika wanakuwa 75 elfu pamoja na continues wachache hawafiki ata 100.
Hujaeleweka. Waliowekewa kuanzia juzi ni batch 2 na HESLB walitangaza kwenye official pages zao.

Batch 3 walisema itatoka kabla ya Novemba 3.

Baada ya batch 3 ndo wataanza ku deal na continueos.
 
Hujaeleweka. Waliowekewa kuanzia juzi ni batch 2 na HESLB walitangaza kwenye official pages zao.

Batch 3 walisema itatoka kabla ya Novemba 3.

Baada ya batch 3 ndo wataanza ku deal na continueos.
Yeah ni ivoivo walivosema
 
Hujaeleweka. Waliowekewa kuanzia juzi ni batch 2 na HESLB walitangaza kwenye official pages zao.

Batch 3 walisema itatoka kabla ya Novemba 3.

Baada ya batch 3 ndo wataanza ku deal na continueos.
Baada ya kutangaza batch ya pili Ijumaa iliyopita je, wale wote ambao account zao zilikuwa zinasema "....wait for final results" hadi kufikia jioni hii leo Jumatatu allocation ya mkopo inaonekana au kuna wengine ambao account zao bado zinaonyesha ujumbe ule ule wa ".... wait for final results"?
 
Ujumbe ni huo huo wait for final
 
Hujaeleweka. Waliowekewa kuanzia juzi ni batch 2 na HESLB walitangaza kwenye official pages zao.

Batch 3 walisema itatoka kabla ya Novemba 3.

Baada ya batch 3 ndo wataanza ku deal na continueos.
Batch 2 walimalizana nao 27th mchana na hao 4300 ndiyo wanaendelea kumalizana nao pamoja na continues so tar3 itakuwa siku ya kutangaza dirisha la ku appeal na jumla ya wanufaika.

Walio omba mkopo ni zaidi ya 250,000 wanafunzi wa degree ya kwanza hapo namaanisha Form six leaver na Diploma holder. Hivyo kama bado account yako haijabadilika adi muda huu tafuta njia nyingine kuna maombi 175,000 yatatemwa.
 
Okey,.shukrani..
Account ya dogo bado haijabadikika!
So assumption ni amekosa.
 
Soo kweli kwamba eti wanafunzi wa first year pekee walioomba ni zaidi ya 250,000.

Idadi ya waombaji wa first year ni zaidi ya 100k na sio 250k kama unavyotaka kuaminisha watu humu.

Ndo maana bodi ikasema kati ya waombaji zaidi ya 100,000 wa mwaka wa kwanza degree wao wamelenga kuwafikia wanafunzi 75,000 kwa bajeti iliyopo.

Hiyo ya kusema degree mwaka wa kwanza pekee eti 250,000 umeitoa wapi?
 
Okey,.shukrani..
Account ya dogo bado haijabadikika!
So assumption ni amekosa.
Subiri final results kama statement inavyojieleza.

Final statement ndo itakupa majibu halisi akaunti haiwezi kuishia na statement hiyo wait for final results.

HESLB walishasema wazi kwamba batch 2 tayari ila batch 3 watatoa kabla ya tarehe 3 Novemba sasa inabidi kuvuta subira upate official statement kutoka HESLB na sio maneno ya baadhi ya watu humu.
 
na ambao imechange into sipa,ila haiwaoneshi loan mkuu, tatizo nn?
 
Imelala yooh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…