HESLB: Batch One Out Now

Kuna mdau aliniambia kwamba huenda bado zoezi la allocation likaendelea leo kwahiyo kama akaunti yako bado inasoma wait for allocation process huenda leo ikabadilika kuwa SIPA na kupangiwa mkopo.

Good news ni kwamba kila aliyeomba na taarifa zake zikahakikiwa zipo sawa basi atapata mkopo kwasababu fedha mwaka huu imetengwa yakutosha hakuna atakayekosa.
 
Sidhani hii kma ni kweli
 
Hata kwa wale akaunti zao ambazo kwa siku ya jana zimesoma kama hapa chini panavyoonekana wala usifanye chochote bali ni mfumo uli shake tu kila kitu kitarudi kuwa sawa na zoezi la allocation litaendelea.
 
Muda wa matumaini umeisha kiongoz,
 
Sidhani hii kma ni kweli
Mwaka huu kuna wanafunzi 75,000 walioomba mkopo mwaka wa kwanza undergraduate na kufikia sasa waliopata ni almost 70,000 bado kama 5,000 tu.

Yaani watoe mkopo kwa wanafunzi zaidi ya 70,000 waje wakwame kuwapa 5,000 waliosalia?

Bado wanaendelea na uchambuzi na kufanya allocation ndiyo maana wakasema kabla ya Novemba 3 watakuwa wametoa orodha ya wanafunzi wasiozidi 5,000 waliobaki kwakuwa ni wachache.
 
Kivipi yaani!

Wamekwambia batch 3 itatoka kabla ya Novemba 3 wewe ulitaka iweje?

Miaka mingine batch zinakuwa hadi 4 sasa wasiwasi wako nini maana waliobaki kupangiwa ni kama watu 5,000 tu hivi.
Sawa tuwe na subira
 
Wewe ulikamilisha kutuma maombi HESLB lini?

Na ulidahiliwa dirisha la 1,2,3 ama 4?

Uli confirm chuo kimoja lini kama ulikuwa na multiple selections?
Maombi ya mkopo nmekamilisha tareh mbili mwez huu wa 10, na udahili wa chuo nilipata kwenye round ya 3 na nilishaconfirm admission kitambo tu
 
Muwe mnasoma na course priority, kuna kozi kupata mkopo ni ndoto..
Zipi hizo au MD..maan mim nimepat MD na wanangu wengine lakin wote holaaaaa.. hhhhhhhh huu mwaka..kwel unatakiw uwe optimistic kwelikweli 😂
 
Zipi hizo au MD..maan mim nimepat MD na wanangu wengine lakin wote holaaaaa.. hhhhhhhh huu mwaka..kwel unatakiw uwe optimistic kwelikweli
Yani alichosewa ni sawa ila angeuliza Kama mtu unasoma coz ya first priority au la mimi binafsi nasoma coz ya afya na chuo nilipata awamu ya kwanza na maombi nilikamilisha mwezi wa nane mwishoni lakin bado am not the future inaumiza kwakweli sijui vigezo vinavotumika ni vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…