- Thread starter
- #21
karibu mkuu tahadhari katika mmu kuna utani katika thread za sirius na kuna usirius katika thread za utani
Teh teh ama asante mkuu
karibu mkuu tahadhari katika mmu kuna utani katika thread za sirius na kuna usirius katika thread za utani
Karibu sana Jamiiforums...
Karibu mkuu.
Ila unajua mchunga peku hapendi ni kwakuwa hana viatu.
kwa hiyo sisi tufanyeje sasa? Kwenda zako....
Momba ni kifupi cha mombasa? Au Momba ndio hivo hivo tu jina limekamilika....?!
Kama inavyosomeka hapo juu, natumaini nitapata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenu. Asante
Hahahaaa poa mkuu
Uwe Tu Mvumilivu Manake......!
kmbe ndo zen nmewafumaa...leo leo leo
Teh teh ndio maana kuna mtu alijiuliza kuhusu hili jina, Momba ni jina la wilaya ninayotoka mkuu chipolopolo 2
Mgeni upo juu unajua kuquote na kumention pia afu umechangamka duh karibu sana
Poa nkajua ni mombasaboy....karibu Fanta
Karibu sana bana. Ila next time ujue wanaume wanajitambulisha jukwaa la siasa kule, huku tunakaribisha wapendwa(ke) tu. Itifaki izingatiwe tafadhali (whatever the hell that means).
Haha mbona nimemkaribisha fresh tu. Nimewapa mwongozo watakaokuja nyuma yake.Duhh huo u sauzi Afrika umetoa wapi Paulo? ubaguzi umeanza lini? mkaribisheni kwa upole bhana kwani wote humu wapole.
Haha mbona nimemkaribisha fresh tu. Nimewapa mwongozo watakaokuja nyuma yake.
Wewe nani alikukaribisha?