Heshima ya mke ndani ya ndoa

Heshima ya mke ndani ya ndoa

Gerald Robert

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
337
Reaction score
219
Usipomuheshimu Mkeo Mungu hawezi kukusikiza uombapo, vivyo hivyo usipomuheshimu Mumeo Mungu hawezi kukisikiza uombapo
Ndoa ni tendo la heshima na lenye baraka za Mungu, vivyo hivyo wanandoa nao wanapaswa kuheshimiana ili wapate kiziteka baraka za ndoa ambazo Mungu aliziachilia kwa wanandoa wote
Kulala na Mke asiye mke wako, na kulala na Mume asiye Mume wako, hilo ni tendo la kuikosea heshima ndoa, pia ni kumdharau Mungu ambaye nduye muanzilishi wa ndoa.
Heshima ya ndoa haiishii kwenye ndoa yako tu, bali kila mmoja anapaswa kuheshimu ndoa za watu wengine.
Ndoa zenye migogoro huwafanya wanandoa kutokuwa wenye afya njema kimwili na hata kiroho kwakuwa muda mwingi hutumia kutatua migogoro ya ndoa yao au kulipizana visasi.....

1PETRO 3:7 (imeandikwa) Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu, na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi KUOMBA KWENU KUSIZUILIWE.


1PETRO 3:1 (imeandikwa) Kadharika ninyi wake, watiini waume zenu...

Smile heals

N yumbani
D aima
O mbeni
A mani

By Mtumishi Gerald Robert
 

Attachments

  • 1481428415933.jpg
    1481428415933.jpg
    41.8 KB · Views: 97
Gerald Robert

Sikiliza kijana kwa umakini sana...

Ukitaka mwanamke akuheshimu basi uwe ni mwenye kumtimizia haja zake zote. Haja moja kubwa ambayo hata umpe mali, majumba, magari, watumishi, biashara na kila kitu, kama hujaitimiza hiyo ipaswavyo basi ujuwe mwanamke hatokuheshimu kabisa, atakuwa anafanya usanii tu, nayo ni unyumba. Unyumba haswa haswa na siyo wa kubabia-babia.

Na pindi utapomtimizia haja zake za unyumba basi hata usiwe na mali, atakuheshimu maisha.

"Vulva" haijuwi Mungu inajuwa mhogo tu.
 
Sikiliza kijana kwa umakini sana...

Ukitaka mwanamke akuheshimu basi uwe ni mwenye kumtimizia haja zake zote. Haja moja kubwa ambayo hata umpe mali, majumba, magari, watumishi, biashara na kila kitu, kama hujaitimiza hiyo ipaswavyo basi ujuwe mwanamke hatokuheshimu kabisa, atakuwa anafanya usanii tu, nayo ni unyumba. Unyumba haswa haswa na siyo wa kubabia-babia.

Na pindi utapomtimizia haja zake za unyumba basi hata usiwe na mali, atakuheshimu maisha.

"Vulva" haijuwi Mungu inajuwa mhogo tu.
FF ufafanuzi tafadhali...

Unyumba wa kubabia-babia ndo ukoje?
 
Sikiliza kijana kwa umakini sana...

Ukitaka mwanamke akuheshimu basi uwe ni mwenye kumtimizia haja zake zote. Haja moja kubwa ambayo hata umpe mali, majumba, magari, watumishi, biashara na kila kitu, kama hujaitimiza hiyo ipaswavyo basi ujuwe mwanamke hatokuheshimu kabisa, atakuwa anafanya usanii tu, nayo ni unyumba. Unyumba haswa haswa na siyo wa kubabia-babia.

Na pindi utapomtimizia haja zake za unyumba basi hata usiwe na mali, atakuheshimu maisha.

"Vulva" haijuwi Mungu inajuwa mhogo tu.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji115]
 
Sikiliza kijana kwa umakini sana...

Ukitaka mwanamke akuheshimu basi uwe ni mwenye kumtimizia haja zake zote. Haja moja kubwa ambayo hata umpe mali, majumba, magari, watumishi, biashara na kila kitu, kama hujaitimiza hiyo ipaswavyo basi ujuwe mwanamke hatokuheshimu kabisa, atakuwa anafanya usanii tu, nayo ni unyumba. Unyumba haswa haswa na siyo wa kubabia-babia.

Na pindi utapomtimizia haja zake za unyumba basi hata usiwe na mali, atakuheshimu maisha.

"Vulva" haijuwi Mungu inajuwa mhogo tu.
[emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji3] ukweli mtupu,,.
 
Ambao haumridhishi mwanamke.
Mi naamini kumridhisha mwanamke na hasa mkeo sio lazima upige show ya kibabe ila fanikisha afike kwenye "kilele".

Kwa mke kumfikisha kileleni ni rahisi maana utakuwa unazijua " areas of weaknesses" zake.

We waonaje?
 
Duh! Ngoja Nipige Kabao Kamwisho Kwa Mke Wangu Naona Mmeziamsha Tena, Mama Boke Geukia Huku Basi Nahitaji Tena Papuchi Yako.
 
Mi naamini kumridhisha mwanamke na hasa mkeo sio lazima upige show ya kibabe ila fanikisha afike kwenye "kilele".

Kwa mke kumfikisha kileleni ni rahisi maana utakuwa unazijua " areas of weaknesses" zake.

We waonaje?

Mkuu kwani nani kaongelea "show za kibabe" katika Uzi huu? Kama umeshajua hizo "areas of weakness" za mwenza wako na zinamridhisha basi umeshafikia lengo.
 
Usipomuheshimu Mkeo Mungu hawezi kukusikiza uombapo, vivyo hivyo usipomuheshimu Mumeo Mungu hawezi kukisikiza uombapo
Ndoa ni tendo la heshima na lenye baraka za Mungu, vivyo hivyo wanandoa nao wanapaswa kuheshimiana ili wapate kiziteka baraka za ndoa ambazo Mungu aliziachilia kwa wanandoa wote
Kulala na Mke asiye mke wako, na kulala na Mume asiye Mume wako, hilo ni tendo la kuikosea heshima ndoa, pia ni kumdharau Mungu ambaye nduye muanzilishi wa ndoa.
Heshima ya ndoa haiishii kwenye ndoa yako tu, bali kila mmoja anapaswa kuheshimu ndoa za watu wengine.
Ndoa zenye migogoro huwafanya wanandoa kutokuwa wenye afya njema kimwili na hata kiroho kwakuwa muda mwingi hutumia kutatua migogoro ya ndoa yao au kulipizana visasi.....

1PETRO 3:7 (imeandikwa) Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu, na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi KUOMBA KWENU KUSIZUILIWE.


1PETRO 3:1 (imeandikwa) Kadharika ninyi wake, watiini waume zenu...

Smile heals

N yumbani
D aima
O mbeni
A mani

By Mtumishi Gerald Robert
Mtumishi naomba kuuliza swali, hivi kwanini ndoa za siku hizi zimekuwa ni kama kupasha moto kuporo? Kwa maana unakuta kabla ya watu kuanza kuchangisha michango ya harusi wanakuwa wameshaishi muda mrefu na wameshakuwa na watoto kama si mtoto. Tatizo liko wako Mtumishi?
 
Back
Top Bottom