Heshima ya mke ndani ya ndoa

Heshima ya mke ndani ya ndoa

Kinacho mtoa mke kwao na kuhamia kwa mume ni kwamba ameufuata MUHOGO. Mengine yooooooote ni mbwembwe tu.

Wengi wenu humu mumekuwa mkisema mapenzi ni pesa. Siyo kweli mapenzi ni "show ya kufa mtu". Ndiyo maana wake za matajiri wana megwa na mashamba boy.
 
Sawa tu mtumishi umesema kweli tu......hata huku streets tunafahamu RESPECT ndiyo nguzo mkuu

Bila RESPECT ni uzushi mtupu.

Sema wewe umeongelea "kichungaji-chungaji" zaidi, watu wa mtaa wanaweza kudhani unaleta "upendo wa kilokole".

Nimeona watu wengi si kwenye ndoa tu, hata sehemu za kazi, mahusianao yanayumba kwasababu hakuna RESPECT.

Nikioa nitamheshimu sana mamito aisee.

Respect continually [emoji111]
 
Mtumishi naomba kuuliza swali, hivi kwanini ndoa za siku hizi zimekuwa ni kama kupasha moto kuporo? Kwa maana unakuta kabla ya watu kuanza kuchangisha michango ya harusi wanakuwa wameshaishi muda mrefu na wameshakuwa na watoto kama si mtoto. Tatizo liko wako Mtumishi?
Tatizo ni kanuni za kuoa na kuolewa wengi hawazifuati, walio wengi wanaingia kwenye ndoa kwasababu kuu mbili

1[emoji117]Tamaa za kimwili.

2[emoji117]Ugumu wa maisha hasa kwa mabinti
 
Kinacho mtoa mke kwao na kuhamia kwa mume ni kwamba ameufuata MUHOGO. Mengine yooooooote ni mbwembwe tu.

Wengi wenu humu mumekuwa mkisema mapenzi ni pesa. Siyo kweli mapenzi ni "show ya kufa mtu". Ndiyo maana wake za matajiri wana megwa na mashamba boy.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Sawa tu mtumishi umesema kweli tu......hata huku streets tunafahamu RESPECT ndiyo nguzo mkuu

Bila RESPECT ni uzushi mtupu.

Sema wewe umeongelea "kichungaji-chungaji" zaidi, watu wa mtaa wanaweza kudhani unaleta "upendo wa kilokole".

Nimeona watu wengi si kwenye ndoa tu, hata sehemu za kazi, mahusianao yanayumba kwasababu hakuna RESPECT.

Nikioa nitamheshimu sana mamito aisee.

Respect continually [emoji111]
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Sawa tu mtumishi umesema kweli tu......hata huku streets tunafahamu RESPECT ndiyo nguzo mkuu

Bila RESPECT ni uzushi mtupu.

Sema wewe umeongelea "kichungaji-chungaji" zaidi, watu wa mtaa wanaweza kudhani unaleta "upendo wa kilokole".

Nimeona watu wengi si kwenye ndoa tu, hata sehemu za kazi, mahusianao yanayumba kwasababu hakuna RESPECT.

Nikioa nitamheshimu sana mamito aisee.

Respect continually [emoji111]
Kweli wewe mwelewa
 
Naona wengi bado ni vipofu katika eneo la hili la ndoa

Hoja yangu ni [emoji117]HESHIMA YA MKE NDANI YA NDOA

Kuna tofauti kubwa sana kati ya Ndoa na Tendo la Ndoa japokuwa vitu hivi ni pacha

Tendo la ndoa sio chanzo cha kuifanya ndoa yako iheshimike, No.

Ila Upendo katika ndoa ndio unaofanya ndoa iheshimike au iheshimiwe.

Pasipo Upendo na Heshima kwa wanandoa hapo hakuna tendo la Ndoa ila ni tendo la Ubakaji ndani ya ndoa.

Kumbukeni kwamba tendo la Ndoa sio kipimo cha upendo au cha heshima kwa wanandoa, hapana

Upendo ndio unaoleta heshima kwa wanandoa wala si tendo la ndoa

Kazi ya tendo la ndoa ni kuwaunganisha wanandoa wawe mwili moja (kiroho) au wawe wamoja

Upendo unaobebwa na mali, gari, nyumba, pesa nk huo ni upendo wa bandia. Take care. Ahsante

By Mtumishi Gerald Robert
 
Ndoa ni nini...maana wengine wametoleana mahari huu mwaka wa kumi huu...!hawana viapo vya mskitini wala kanisani
Ndoa ni makubaliano ya mtu mume na mtu mke kuishi pamoja kama mume na mke kwa maisha yao yote, na makubaliano hayo ni lazima yatambulike au yatambuliwe kisheria ili kupata baraka za ndoa hoyo sawa sawa na mlivyoitambulisha. Ahsante
 
Back
Top Bottom