Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 8,596
- 29,577
- Thread starter
- #61
Haha,Oooh yeah!!
Ila mafurushi hawahusiki hapa.
Hawa viumbe(wanaojitambua) wana nafasi kubwa sana kwenye maisha yetu, Mungu awatunze tu kwaajili yetu. They go through alot na tumewaminisha kuwa lazima wapambane no matter what(ofcoz ni lazima jamani[emoji12]) hivyo masahibu yao wanakufa nayo "kiume".
Ila endeleeni tu kupambana jamani maana hamna namna, tupo kuwafariji.
Hell yeah', mafurushi here ain't they're position,
Ndiyo wapambane huku wakijua kabisa tunauthamini na kuuheshimu sana mchango wao maishani mwetu.!!