RICARDO KAKA
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 865
- 338
MUNGU ibariki TANZANIA
utindio wa ubongo anao baba yako siyo Dr Slaa yule ndo raisi wetu mtarajiwa .Hakika, anayemsema vibaya docta slaa ana matatizo ya mtindio Wa ubongo.
mimi sina muda wa kushindana na kahaba umeshazoa kuliwa kama karanga .wa jimbo gan dada
Mr. President
utindio wa ubongo anao baba yako siyo Dr Slaa yule ndo raisi wetu mtarajiwa .
Umoja wetu tumeungana kwa ajili kutoa huyu shetani ccmkwa nini umoja mnautumia kwa uwingi.umoja haufanani na uwingi hata siku
View attachment 222326Naomba mumchuguze kwa makini huyo Babu, kwamacho tu anaonekana afya yake iko mashakani, ila ukipenda chongo utaita kengeza ,
Kwa uhalisia ukawa hakuna mgombea mwenye ushawishi au mvuto wa kisiasa kwa sasa kwenye ngazi ya upresidenti.
Dr,Prof,mbatia,Mbowe na Makaidi wanaweza kua na ushawishi mkubwa sana kwenye ngazi ya ubunge,ila kwenye urais wamepoteza sana ushawishi.
Mfano ikitokea Ccm wakamsimamisha Lowassa ambae kwa sasa anaonekana mwenye ushawishi mkubwa kwa watanzania(ingawa bunge liliwahi kuazimia kua ni mwizi hadi akajiuzuru) hakuna kiongozi wa ukawa anaweza kusimama nae.
Binafsi ningeshauri ukawa wasimamishe mtu mwingine kabisa ila hao viongozi hawana mvuto wala ushawishi wa kisiasa kiasi kwamba wanaweza kushinda urais,ila kama ni kuwasimamisha tu kwa ajili ya kuleta upinzani sawa vinginevyo hapana.
Kwa uhalisia ukawa hakuna mgombea mwenye ushawishi au mvuto wa kisiasa kwa sasa kwenye ngazi ya upresidenti.
Dr,Prof,mbatia,Mbowe na Makaidi wanaweza kua na ushawishi mkubwa sana kwenye ngazi ya ubunge,ila kwenye urais wamepoteza sana ushawishi.
Mfano ikitokea Ccm wakamsimamisha Lowassa ambae kwa sasa anaonekana mwenye ushawishi mkubwa kwa watanzania(ingawa bunge liliwahi kuazimia kua ni mwizi hadi akajiuzuru) hakuna kiongozi wa ukawa anaweza kusimama nae.
Binafsi ningeshauri ukawa wasimamishe mtu mwingine kabisa ila hao viongozi hawana mvuto wala ushawishi wa kisiasa kiasi kwamba wanaweza kushinda urais,ila kama ni kuwasimamisha tu kwa ajili ya kuleta upinzani sawa vinginevyo hapana.
Na mgombea wa ccm ni vita kati ya dini zipi..? Huo udini uliopandikizwa na ccm utawamaliza wao kwanza kabla ya ukawa.Mgombea wa UKAWA ni vita kati Wakristo na Waislamu, tunza vizuri hii comment yangu , tutakuja kukumbushana huko mbeleni.
Kiukweli ningetamani kuona mh. Lipumba, mbatia, mbowe na hata makaidi wakiwa wabunge wa bunge la muungano. Wangelisaidia sana bunge letu na taifa letu.
ni kweli slaa hana mvuto mi nadhani bibi yako ndo mwenye mvuto kwa babu yako
babu sa iv akisimama lisaa bila ya kumpa kiti na kahawa mnamuokota