TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,674
- 1,572
Kama profesa Ibrahim Haruna Lipumba atagombea ubunge Tabora mjini. Na Kama kamanda Mbatia atagombea ubunge jimbo la Vunjo. Na Kama kamanda Wa anga Freeman Mbowe atagombea ubunge jimbo la Hai. Na Ndugu Emmanuel Makaidi atagombea Jimbo la Mtama.
Hesabu nyepesi hapo, doctor Wilbrod Peter Slaa atagombea urais Kwa tiketi ya UKAWA mwaka huu katika uchaguzi unaotarajiwa kuitishwa mwezi October mwaka huu.
Mungu ibariki UKAWA Mungu ibariki Tanzania.
Tukosoane Kwa staha.
Hesabu nyepesi hapo, doctor Wilbrod Peter Slaa atagombea urais Kwa tiketi ya UKAWA mwaka huu katika uchaguzi unaotarajiwa kuitishwa mwezi October mwaka huu.
Mungu ibariki UKAWA Mungu ibariki Tanzania.
Tukosoane Kwa staha.
