He's back

He's back

Sometimes tunawalaumu bure wanaosema itaendelea. Nimescroll chini nikaona urefu wa hii ishu nikacheki jina la mwandishi nikajua kabisa hawa ndiyo wale madume yanayoishi na id za kike.

So hata sijasoma, ndefu sana na mwandishi hana credibility.
 
Mmeachana muda mrefu karudi kakupata bado upo singo!!
 
nyamaza maana umelia tangu unafika
Kaiva uso wote na ile rangi ake sasa kawa mwekunduu
Alivonyamaza kajieleza weeeee, apo usiku mkubwa tayari
😂😂Mbinu ya kibaharia hii..unamuonea hurumaa anakula vya ndani😂
 
Bahati mbaya huwa sirudi nyuma, mateso niliyopata baada ya yeye kuniacha atalia akimaliza ataondoka tu.hata Kwa msaada wa majirani na vihela vyake akituma namrudishia halafu nakwenda kopa Mia tano Kwa jirani ninunue dagaa nile ugali, kwanza hawezi kunirudia, yaani anitende kwa makusudi na dharau! Simpokea
 
Kweli mwanamke ni mwanamke tu, uliporuhusu kuendelea kuchat nae ndo ulikuwa umefungulia dog. a man enough couldn't fail a game..

umenikumbusha zaman kidogo, jacky wangu tulizinguana kidogo kisha tukaachana pale, na ni sivyo na hulka ya kubembeleza nikamuacha akatembea zake, a month, two months, quarter a year nikaona mtu kimya tu, ikabidi nimtafute mwenyewe.

(mimi asbh saa 3) Hi jacky.

(yeye) kakaa kimya

(mimi asbh saa 5) Jacky it's me (nikataja jina)

(yeye) kakaa kimya

::Wakati wote message zinakuwa delivered na ninajua anazisoma

(mimi saa 8 mchana) jacky please nisikilize nina jambo muhimu nataka nikueleze, nisikilize then sitakusumbua tena.

(Jacky saa 8 mchana) sema chap niko busy sana

Nkajisemea kimoyomoyo, tayari kashanasa.

(mimi) Jacky sijui nini kilitokea usiku lkn nmekuwaza sana na kwa kweli nikagundua wewe ndo mwanamke sahihi katika maisha yangu after all imekuwa hivyo kwa sababu kabla ya hapo niliota ndoto kwamba tumefunga ndoa na baada ya hapo nikaona tuna watoto wawili daah nikawa shocked sana Jacky, Jacky I now know ur destined to be mine..

(Jacky) enheee baada ya hapo ikawaje (akanitaja jina)

(Mimi) Jacky, it's not important kujua baada ya hapo ilitokea nini, lkn better u know this, am ur future husband and father of your kids..

(Jacky) Are you sure (akanitaja jina)

(Mimi) Get into my heart u see how sure am I, I love you with all I have

(Jacky) I love you too, lkn please usiniumize tena(akanitaja jina)

......guess what next......

My take, to capture a single Tanzanian lady above 25 yrs, mpe uhakika kwamba utamuoa + honey words
 
Nikajua ni rais wetu mpendwa msieishiwa kumzushia. Nilitaka nichinje kuku kusheherekea kushindwa kwa wapiga zumari wa mitandaoni
 
Nikajua ni rais wetu mpendwa msieishiwa kumzushia. Nilitaka nichinje kuku kusheherekea kushindwa kwa wapiga zumari wa mitandaoni
OPEN YOUR EYES BRO!!! Hakuna zumari wala Jacob!
 
Umeandika meengi ila hujafunguka kuwa jamaa pia alikutafuna,,
Weka wazi tu kuwa K ilitafunwa
 
"He's back!"

"Nitavaa shela safari hii"

Hata akikuoa hutakuwa peke yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom