He's back

He's back

Mungu anajibu maombi muombee na yeye ni binadamu anakosea
 


Maskini huyu... kaliwa kiboga na lazima aachwe tena, wanaume tunajijua Wenyewe ...hakuna mwanamke asiependa maneno matamu tamu lazima aliwe...
 
Job true true...

Ukishindwa kuishi maisha unayotamanj, unaweza ishi ndotoni(usingizini) ama kwenye masimulizi
 
Nilipoona he is back, nikajua mzee wa kaya anaesingiziwa kalazwa kenya.
 
UANAUME HAUPO KWENYE KUFANYA MAAMUZI MAGUMU BALI UPO KWENYE KUYASIMAMIA HAYO MAAMUZI MAGUMU.......

Wanaume wengi wanajikwaa kwenye hili....na wanaoibuka washindi kwenye hili wanakuwa wamepiga hatua kubwa sana kwenye uhuru wa nafsi na furaha ya kweli.....
 
Nilivyoanza kusoma nikajua tu mwisho wa siku lazima ulainike.
 
Mnajijua mlivyo ee..!

Mi nadhani 1M ndo ilimlainisha kabisa au nasema uongo ndugu yangu!
alilainika kabla hata hiyo milioni sasa baada ya hiyo milioni ndio kabisaaaa kazi imeisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom