Poleni..Wakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri
Pole sana mkuu.R.I.P MamaWakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri
pole sanaWakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri
Aisee pole sana.Wakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri
Pole sana ndugu Mungu awe mfariji wenu mkuu ktk kipindi hiki cha msiba huu mkubwa. Roho ya Marehemu Mama ipate pumziko la milele apumike kwa amani amina.Wakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri
Pole sana member upo wapi? Siwezi elezea kuondokewa na mzazi ila wacha tu. Wengi wetu humu ni yatima wazoefu hivyo tumfariji mwenzetu.Wakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri
Pole Dana ndugu yetu Mungu awafariji kipnd hiki kigumuWakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri