Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,789
- 14,735
Pole sana mkuu,Mungu na akupe nguvu mkuu,you are a man,be a man.
Kila mtu ana njia yake ya kutoa au kupunguza machunguKwahiyo unatafuta faraja MITANDAONI.
Tuna kizazi Cha ajabu sana.
Pole sana mkuu wote tuna pita.Wakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri
Pole sanaWakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri
Kwani anatakiwa kupost baada ya muda gani??Umefiwa Leo na unapata muda wa kupost! E. I. P mama nyuma Yako mbele yetu. Pole Sana Kwa magumu unayopitia maana ukifiwa na mama uchungu huwa mkubwa Sana.
Ulitaka faraja aitafute wapi, wewe ndio unaefanya kizazi chako kiwe cha ajabu zaidi kwa kutokua na huruma.Kwahiyo unatafuta faraja MITANDAONI.
Tuna kizazi Cha ajabu sana.
Jf kuna watu wa ajabu hata mtaani hawapo hawa wanaishi ulimwengu wa peke yao,maana kila kitu lazima wakibeza,Kwani anatakiwa kupost baada ya muda gani??
Huenda yupo njiani kuelekea msibani, acha afanye kile anaona nafsi yake itatulia.
Ulitaka faraja aitafute wapi, wewe ndio unaefanya kizazi chako kiwe cha ajabu zaidi kwa kutokua na huruma.
Ulie ugalegale chini, upige ukunga mpaka mtaa wa pili wasikie, hapo ndo wataamini kua umefiwa.Jf kuna watu wa ajabu hata mtaani hawapo hawa wanaishi ulimwengu wa peke yao,maana kila kitu lazima wakibeza,
Wanataka mtu ukifiwa ukae uchi/kutojitambua/kutambua kinachoendelea ndiyo wajue kuwa unamachungu ya kufiwa.
Pole sana kaka...Wakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri
Asante,lkn Pole kwa kuondokewa na mama yako mzazi.Wakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri
Pole sana mkuu mungu akutie nguvuWakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri