mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,053
- 4,825
Wakuu nawatakia sikuuu njema wote humu ila kwangu ni ngumu; my beloved mama amefariki usiku wa kuamkia leo.
Nawatakia heri
Nawatakia heri
Watu wana tofautiana katika kudeal na machungu yao ndugu.Umefiwa Leo na unapata muda wa kupost!