Ukweli wa nini?. kuwa kuna uwezekano wa ndege kupiga reverse ikiwa angani au..lowasa kura milioni kumi....magufuli kura milioni tatu....hata kama wameiba lakini huu ndio ukweli
asante kamanda, na kwako pia. Ila husisahau bado mapambano yanaendeleaWanajamvi siyo kusudio langu kufanya ubaguzi kwa wale wasiyo wana ukawa, nimeamua kutoa salaamu hizo kufuatia uvumilivu wao na mapenzi yao makubwa kwa umoja wa amani ya taifa letu.
bado unaamini el alishinda? maneno ya mch. msigwa yanakuhusu- upimwe akili.Makamanda hongereni kwa ushindi wa 62% kwa Lowasa,makamanda mlifanya kazi kubwa.uvumilivu wa kisiasa,siasa safi na busara za mgombea na mwenyekiti zimeiacha nchi ktk hali ya utulivu,nasisitiza tena katika hali ya utulivu,amani haipo
kivipiMkuu tayari zenji kimenuka
Umeona Mkuu eeeh? Eti makatibu 50 huku wizara zikiwa 18 tu?UKAWA RAHA SANA..sibabaishwi na maigizo ya kupunguza mawaziri na kuongeza makatibu..