Kusoma hujui ..sawa..hata picha huoni? Na msipojiangalia hiyo Ukiwa yenu mwisho leo saa sita..Wewe babu endelea kuota ndoto za alfajiri
Kusoma hujui ..sawa..hata picha huoni? Na msipojiangalia hiyo Ukiwa yenu mwisho leo saa sita..
Yap. .dawa ya majini kama wwDua la kuku mkuu
kumbe ni jirani... mbona huku sisi ukiwa hakuna au seaview ipi hii hii ya jirani na mtu wa kazi braza beni au ipi?Mkuu nipo hapa seaview nakula nchi karibu na etiens
Ukawa siitofautishi na arsenal na mbowe simtofautishi na Wenger na wanachama wao siwatofautishi na mashabiki waoNawapa Hongera na Heko wale wote wenye mioyo ya mabadiliko hadi sasa, tusikate tamaa.. Maana mabadiliko ya kweli yataletwa na cdm
Tujipe moyo one day yes..