Heri ya Mwaka Mpya kwa wana UKAWA

Heri ya Mwaka Mpya kwa wana UKAWA

Nimemsikia mtumishi mmoja wa Mungu leo akisema kuwa kuna watu waliibiwa kura, ila Mungu aliamua kulinda Amani ya Tanzania. Na akasema wale waovu waliofanya vile, watadharauliwa na jamii. Tunakushukuru Mungu sana kwa Amani & Umoja wa Taifa letu.
 
images%207_zpsdqfhtup4.jpg
 
Ukawaa hoyeeeee tupo pamoja tena tuna hasira kama mbogo majipu lazima yatukome ngoja turudi mjengon
 
Wana M4C mlishinda kwa 62% sio?
 

Attachments

  • 1451612741108.jpg
    1451612741108.jpg
    15.5 KB · Views: 27
Nawe pia kamanda tupo pamoja kamanda
Wanajamvi siyo kusudio langu kufanya ubaguzi kwa wale wasiyo wana ukawa, nimeamua kutoa salaamu hizo kufuatia uvumilivu wao na mapenzi yao makubwa kwa umoja wa amani ya taifa letu.
 
Back
Top Bottom