Heri ya Mwaka Mpya kwa wana UKAWA

Heri ya Mwaka Mpya kwa wana UKAWA

Kaka imeshatua kitambo ..marubani wote chali.. mmoja anachunga ng'ombe mwingine saa hizi anakula viroba na mbege kule kishumundu.
Mtaendelea kuweweseka hadi ukawa ikabidhiwe ushindi wake wahalali
 
Kaka imeshatua kitambo ..marubani wote chali.. mmoja anachunga ng'ombe mwingine saa hizi anakula viroba na mbege kule kishumundu.
Hahahahaha unajua haya manyumbu post zao za kujifariji zinaniachaga hoi kwa vicheko. Ni kama daktari anavyowafariji wagonjwa wa ukimwi.
 
MABADILIKO NI LAZIMA UKIYATAA YATAKUFUATA ULIPO KWAIYO WANA CCM USIBEZE CCM LAZIMA ITAONDOKA TU MTAKE MSITAKE
 
Hahahahaha unajua haya manyumbu post zao za kujifariji zinaniachaga hoi kwa vicheko. Ni kama daktari anavyowafariji wagonjwa wa ukimwi.
ni kweli mkuu ...yaani yanajipa moyo kama wale waumini walioenda airport wakiamini wataruka kwenda Ulaya bila nauli.. wakaambulia kutimuliwa... hawa jamaa ni shida.
 
Hahahahaha unajua haya manyumbu post zao za kujifariji zinaniachaga hoi kwa vicheko. Ni kama daktari anavyowafariji wagonjwa wa ukimwi.
Mkuu hapo siyo siri umeteleza sana kwa suala la ukimwi
 
ni kweli mkuu ...yaani yanajipa moyo kama wale waumini walioenda airport wakiamini wataruka kwenda Ulaya bila nauli.. wakaambulia kutimuliwa... hawa jamaa ni shida.
Hahahahah ila mi nayapenda sana kwani yanatoa burudani kupitia fasihi... Yananipa raha sana.
 
ni kweli mkuu ...yaani yanajipa moyo kama wale waumini walioenda airport wakiamini wataruka kwenda Ulaya bila nauli.. wakaambulia kutimuliwa... hawa jamaa ni shida.
C c m ni ileile ileile
 
lowasa kura milioni kumi....magufuli kura milioni tatu....hata kama wameiba lakini huu ndio ukweli
 
Back
Top Bottom