Heri ya Mwaka Mpya kwa wana UKAWA

Heri ya Mwaka Mpya kwa wana UKAWA

na wewe pia kamanda.
pia hatuna budi kujipongeza kwa mafanikio makubwa tuliyopata 2015 kupata wabunge 35 si kitu kidogo na kwenye urais tungemsimamisha mgombea msafi asiye fisadi sasa hivi ikulu ingekuwa yetu.
 
Thnx Mkuu!! Ni ukweli usiyo pingika kwamba tumeshnda kwa 62% Na ni ukweli kwamba maccm hayatuwezi hata tuamshwe sa kumi usiku... Ukawa tulipambana na dola na si ccm, Na sasa laana ya Mungu imeanza kuwatafuna
Kweli kamanda ni muhimu tukatakiana kila la kheri wana ukawa woote
 
Wana jamvi siyo kusudio langu kufanya ubaguzi kwa wale wasiyo wana ukawa, nimeamua kutoa salaamu hizo kufuatia uvumilivu wao na mapenzi yao makubwa kwa umoja wa amani ya taifa letu.

Na iwe kwako pia kamanda. Tuko imara zaidi ya jana..
 
na wewe pia kamanda.
pia hatuna budi kujipongeza kwa mafanikio makubwa tuliyopata 2015 kupata wabunge 35 si kitu kidogo na kwenye urais tungemsimamisha mgombea msafi asiye fisadi sasa hivi ikulu ingekuwa yetu.
Fisadi yupo msoga
 
Thnx Mkuu!! Ni ukweli usiyo pingika kwamba tumeshnda kwa 62% Na ni ukweli kwamba maccm hayatuwezi hata tuamshwe sa kumi usiku... Ukawa tulipambana na dola na si ccm, Na sasa laana ya Mungu imeanza kuwatafuna
Mkuu laana gani tena tujuze
 
Wana jamvi siyo kusudio langu kufanya ubaguzi kwa wale wasiyo wana ukawa, nimeamua kutoa salaamu hizo kufuatia uvumilivu wao na mapenzi yao makubwa kwa umoja wa amani ya taifa letu.
Mkuu sana @Mmawia heri ya Mwaka mpya. Mapambano yanaendelea...
 
Pumbavuu zenu Magamba!!! Mmeshazoea wizi wa kura, sana Mnataka mchakachue Pongezi zetu za Ushndi wa kishindo, nyambafuu nyie nendeni mkabebe makontena
 
Back
Top Bottom