samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,176
Hbd mkuu wa nchi!!! aka rafiki yake wa zamani na lowassa...
Mkuu swaiba wako na vijana wake hawakupendi tena baada ya wewe kuamua kuwa mzalendo.. wanataka kututeka kutufanya watumwa wao huku wao wakinywa kahawa kule migombani, mkuu sisi kama wazalendo tunapambana na tutapambana Magufuri aende ikulu... Hamna noma mkuu you have done your part and atleast we see the base line for the coming president,,, 64yrs sio mchezo mkuu huku uraiani tunakuita "mkwere," tutakuwa tunapita kukupa hi pale msoga...
Mkuu swaiba wako na vijana wake hawakupendi tena baada ya wewe kuamua kuwa mzalendo.. wanataka kututeka kutufanya watumwa wao huku wao wakinywa kahawa kule migombani, mkuu sisi kama wazalendo tunapambana na tutapambana Magufuri aende ikulu... Hamna noma mkuu you have done your part and atleast we see the base line for the coming president,,, 64yrs sio mchezo mkuu huku uraiani tunakuita "mkwere," tutakuwa tunapita kukupa hi pale msoga...